Mkuu thibitisha unayoyasemaWanaendaga kuoga dawa kila mwisho wa mwaka tarhe 25 december to jan 1 pia hufanya matambiko na ibada za kichawi ili mizimu ya babu zao iwape utajiri na wakija humu jukwaani hujifanya wanaponda sana mambo ya waganga na kujifanya wao ni watu wa mungu na degree zao za hapa na pale
Mali inalindwa na nguvu isiyoonekana positive or negative!!Unaongea logical au upo emotional ni vizuri kwenye mada Kama hizi ukawa logically kuliko kutoa mambo as if Una uhakika.
Uchawi na mambo yasiyooneka yamewafanya watu wengi weusi Ku-stumble .
Kutoa sadaka ni swala la imani ya MTU na kusaidiana Kama binadamu .
Hakuna watu wanaroga Kama watu weusi na kutoa sadaka Ila still wapo chini hawana kitu
Kivipi?Mali inalindwa na nguvu isiyoonekana positive or negative!!
Huo ndio uhalisia!!
Kuna watu walikua top na walifanya kazi kufika hapo juu lakini kilichowatokea walirudi nyuma!!
Nimependa hivyo viingilishi myFocusing nadhani....targeting nafikiri
Niseme tu kwanza mimi sio mchaga na wala sina unasaba wowote na kabila hilo ila kiukweli nahusudu sana mafanikio ya wanaotoka kabila hili na kuwaomba watuanikie siri ya mafanikio yao.
Maana kama hizi shule wote tunasoma nao shule hizihizi tena wengi wao wala hawana maajabu huko madarasani ila wenzetu hawa mkikutana miaka kadhaa baadaye unakuta wewe upo hapa yeye yupo kuleee.
Siri nini wakuu? wengine tunakosea wapi?
Mali inalindwa na nguvu isiyoonekana positive or negative!!
Huo ndio uhalisia!!
Kuna watu walikua top na walifanya kazi kufika hapo juu lakini kilichowatokea walirudi nyuma!!
Discipline ya Hela, Kujali Nyumbani kwetu (Wazazi) Kujituma, na KusaidianaNiseme tu kwanza mimi sio mchaga na wala sina unasaba wowote na kabila hilo ila kiukweli nahusudu sana mafanikio ya wanaotoka kabila hili na kuwaomba watuanikie siri ya mafanikio yao.
Maana kama hizi shule wote tunasoma nao shule hizihizi tena wengi wao wala hawana maajabu huko madarasani ila wenzetu hawa mkikutana miaka kadhaa baadaye unakuta wewe upo hapa yeye yupo kuleee.
Siri nini wakuu? wengine tunakosea wapi?
Mali Ina asili yake!!Kivipi?
😂😂😂Eti wanauza feki wanatumia Org aiseeYap ukitaka kufanikiwa kama wachaga
1 take RISK na usiache fulsa.
2 Kuwa na nidhamu ya pesa.
3 Control your PENY(DICK) and STOMACH.
4.Achana na kukimbizana na wasichana stick na mwanamke mmoja Sahihi.
Habari za kusoma Mavitabu sijui RICH DAD POOL DAD katika mambo ya BIASHARA kwa wewe mtoto wa mkurima mtaji wa masikini ni nguvu zako mwenyewe vitakupotezea muda utaishia kuishi kwenye NDOTO tu na muda ymri unakwenda biashara ni kipaji kama huna kipaji usiwe mbishi ingia Field jifunze taratibu kwa waliopo kwenye game muda
Wachaga wanasimamia hizo falsafa hapo juu ndio mana wanafanikiwa
Wao wanainvest then wanakuja kuspend FAIDA hata kama itachukua miaka 10 kupata faida watasubiri tu kuliko kula bata msingi waje wakati hajafikia malengo yake
Ndo mana wanapenda SANA toyota enzi hizo TOYOTA STOUT zilikuwa za WACHAGA tu
Hili la kupenda vitu vinavyodumu hata mimi japo mzaramo ila wachaga wameniambukiza
Dadeki zao wachaga wao wanauza vitu feki lkn wenyewe wanatumia vitu OG mkataba
Hizo habari za mungu na shetani ni story tu , mkuu kuna watu hawaamini hayo mambo na wapo vizuri kiuchumi.Mali Ina asili yake!!
Kuna Ile aliyopewa mfalme Suleiman Wala hakuhangaika kivile !
Na Kuna Ile ya shetani ambayo yesu aliambiwa amsujudie ndio apewe milki zote duniani!!
Inategemea ya kwako ni ipi na inalindwa na nani!!
Mungu au shetani!!
Wanaufanya bila kujua wanafanya Imani fulani!!Hizo habari za mungu na shetani ni story tu , mkuu kuna watu hawaamini hayo mambo na wapo vizuri kiuchumi.
Kwa kiasi chakeSisi wachaga ni Utapeli hakuna zaid..
Kwahiyo akili pekee inatosha kumtajirisha mtu?Hizo habari za mungu na shetani ni story tu , mkuu kuna watu hawaamini hayo mambo na wapo vizuri kiuchumi.
Mambo mengi tu yanayomzunguka mtu ambayo yote yapo humu humu duniani yanatosha.Kwahiyo akili pekee inatosha kumtajirisha mtu?
Huo ulimwengu usioonekana ungesema ni wazo na rasilimali zilizopo humu humu ingekua vizuri zaidi.Wanaufanya bila kujua wanafanya Imani fulani!!
Mafanikio yanaanzia ulimwengu usioonekana kuja ulimwengu unaoonekana na umaskini hivyo hivyo!!
Viingilishi tena🤣🤣🥴 haya bhanaNimependa hivyo viingilishi my
Uliona wapi mkuu? Huwa hatuna mambo ya kishirikina.
Mitambiko sio ushirikina ni taratibu za mila na desturi za kabila husika ,sema ukoloni ulivyoingia waliamua kuzipa mila zetu majina mabaya.Uchagani mzee...
Kuna koo zina hadi madaftari yaliyoandikwa majina ya familia zote kwenye ukoo, na wanapotambika wanawataja wote...
Si mchaga but wana vitu viwili, Jicho la fursa and hardwork. Hawa watu wakipata upenyo wanautumia effectively, question is how unaupata au kuweza kuona fursa mahali ambapo wengine hawaioniNiseme tu kwanza mimi sio mchaga na wala sina unasaba wowote na kabila hilo ila kiukweli nahusudu sana mafanikio ya wanaotoka kabila hili na kuwaomba watuanikie siri ya mafanikio yao.
Maana kama hizi shule wote tunasoma nao shule hizihizi tena wengi wao wala hawana maajabu huko madarasani ila wenzetu hawa mkikutana miaka kadhaa baadaye unakuta wewe upo hapa yeye yupo kuleee.
Siri nini wakuu? wengine tunakosea wapi?