ukome kulemaza ndugu zetu tena ukome....... jambo weye mzima kabisa?
Aliniomba akauzie sura, coz na mie sikuwa na mishemishe nikampa, ila namshukuru amekarudisha juzi jumamosi salama kabisa
Nimekoma mamii, manake hata mimi nilifikiria kangebiringita sijui ingekuwaje, Sijambo mamii
wachaga hoyeeeeeeeeeeeee
Nimekoma mamii, manake hata mimi nilifikiria kangebiringita sijui ingekuwaje, Sijambo mamii
sema na wewe uliishiwa ukamkodishia ili walao upate mafuta ya kutanulia mwaka mpya!! usiwe mgumu wa kushukuru ram, haya mshukuru mangi upesi!
umenichekesha sana kumbe wewe ni dada? naitaramo mwalii!
Yah, mie ni mwali, unataka kuleta posa?
umejuaje? tatizo bado nyumba yangu ya kisasa haijakamilika, hata mkoko bado, lakini utaniazimma lako!
Jitahidi sasa ukamilishe, ni muhimu kuingia kwenye nyumba ambayo iko full, yah, mkoko tutatumia huu huu wangu ukizingatia simuazimishi tena rafiki
Jitahidi sasa ukamilishe, ni muhimu kuingia kwenye nyumba ambayo iko full, yah, mkoko tutatumia huu huu wangu ukizingatia simuazimishi tena rafiki
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimetangaza mfumo mpya wa kuwapata wagombea nafasi ya ubunge kuanzia uchaguzi wa 2015.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk. Wilbrod Slaa alisema kuwa kuanzia uchanguzi ujao wa 2015, nafasi za wagombea ubunge majimbo yote nchini zitatangazwa kwenye magazeti.
Dk. Slaa alisema baada ya waombaji kujitokeza watafanyiwa usaili kwa kufanya mtihani utakaokuwa umeandaliwa kwa kuzingatia nafasi hizo.
Mwenyekiti wa chama, Freeman Mbowe amekwisha kusema kwamba kuanzia sasa hatupokei makapi kutoka Chama Cha
Mapinduzi (CCM) na hili naliweka wazi kwamba uchaguzi ujao utakuwa na mfumo mpya na wenye mabadiliko makubwa, tunaamini utaleta uzalendo na kuondoa upuuzi unaojitokeza.
Kwa wale walio na mipango ya kujitokeza dakika za mwisho kugombea nafasi za ubunge kupitia Chadema au nje ya chama, naomba wasahau hilo tunataka mtu anayetetea wananchi, mwenye uzalendo, hoja, ujasiri na mwenye kuitoa Tanzania hapa ilipo na kuisogeza mbele,alisema.
Akizungumzia suala la mchakato wa katiba mpya alisema Chadema haitakubali kuona inakuwa sehemu ya watu walioshiriki kutengeneza katiba isiyo ya Watanzania wote.
Wanatafuta sifa za watu wa kwenda na Dubai ccm hakuna uchafu huo Mbowe Dr. Silaha wote wametoka ccm acheni unafki hizo siyo nafasi za kazi Duniani kote hawafanyi hivyo.
Jamani Wachaga, mbona mmekaachia haka kasichana ka-ram kuuza biashara kwenye mtandano? Mimi nimeitafuta ni biashara gani nikaikosa. Nikaishia kukuta eti kanataka kuchumbiwa. Luuuh! Mimi sitaki kuchumbia. Hata kakikaa kanasoma gazeti mimi sina tatizo, nikimalisa nitafunika na hela ya masiwa ya mtoto kataikuta mezani. Kako mtaa gani kabinti kazuri namna hii? Hata Msee wa miaka 90 kweli halali usingisi usiku.