Ukifika kuchumbia, Mzee anakuuliza:
Mkwe: Utiree nyumba ya mawe?
Kijana: Oteee...........
Mkwe: Utiree Radio ya Picha.... (TV)
Kijana: Otee....
Mkwe: Utiree ng'umba ya Mareli (ng'ombe wa maziwa)
Kijana: Otee....
Mkwe: Utiree kabati ya Mbeho? (Friji)
Kijana: Otee
Mkwe: Utiree toyota Staout?
Kijana: Otee...
Mkwe: Chukua binti yangu ... (Haijalishi umri, kibaka, jambazi, Ladies Boxer, hata nani sijui ................)
NB: Ninaweza kuwa nimekosea Spelling ya maneno ya Kichaga (Mezeeni).
Miaka ya 80 na 90 mwanzoni, walikuwa wakitesa na Peogeout 504