Optimistic Soul
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 204
- 21
jamani tumesemwa sana basi sasa yatoshaaaaaaaaaaaaa.......mwehhhh
I agree with you, nimeamini mti wenye matunda ndio unarushiwa mawe, kwa nini wachaga kila siku, anyway sasa hivi tunatumia Hilux double cabin (multi-purpose), shambani, bar, ofisini kila mahali, semeni hadi mchoke, kuhusu kuoa, stout haipo kwenye list ya mahari za kichaga, sasa mmetoa wapi? suala la kuangalia uwezo wa familia ya mtoto anakoenda ni kwa kila mzazi, mnajua kila mzazi anapenda kuona mwanae anaishi maisha mazuri... got it people!!?