Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,411
- 11,061
Wajameni Dunia hii Ina mengi sana, nimekutana na mfadhaiko mkubwa sana.
Iko hivi katika pitapita zangu nimekutana na msela wangu akiwa na mademu watatu, sasa baada ya kuwajoin kuna story za maisha ya hao mademu besties wa msela kumbe wamesoma pamoja Olevel, na chuo cha Ualimu.
Sasa bhana mie pia najua demu wangu kasoma chuo hicho kumbe hao mademu wamesoma nae, nikamtaja majina yake.
Dadeki kuna mmoja alikuwa tayari yuko vibes na vyombo bia zimekolea si karopokwa aaha huyo si Witness tena yeye ni dotto wako mapacha huyo alikuwa
kiranja wa kutoa mimba, yule hadi tunamaliza chuo alishatoa mimba 12 na baada ya chuo nina uhakika pia alitoa mimba 3.
Baada ya hapo sina mawasiliano nae ila alivyoroporopo kama mimi nikionana nae au nikimcheki kwenye simu nikimuuliza kuhusu michongo ya kusimamia shoo za kukataa kuzaa atasema tu hana kaba yule.
Nimevurugwa baada ya hapo sikuaga nikasepa nikaenda kula Guinness stout, nikajikuta niko na demu wa kaunta bar moja maarufu hapa Dodoma.
Usiombe yaliyo nikuta yakukute.
Kuna mademu ni maninja sina hamu nimevurugwa sana.
Dunia bado ipo sana hofu ni kwetu sisi walimwengu.
Am disillusioned really.
Wadiz now chopped off.
Iko hivi katika pitapita zangu nimekutana na msela wangu akiwa na mademu watatu, sasa baada ya kuwajoin kuna story za maisha ya hao mademu besties wa msela kumbe wamesoma pamoja Olevel, na chuo cha Ualimu.
Sasa bhana mie pia najua demu wangu kasoma chuo hicho kumbe hao mademu wamesoma nae, nikamtaja majina yake.
Dadeki kuna mmoja alikuwa tayari yuko vibes na vyombo bia zimekolea si karopokwa aaha huyo si Witness tena yeye ni dotto wako mapacha huyo alikuwa
kiranja wa kutoa mimba, yule hadi tunamaliza chuo alishatoa mimba 12 na baada ya chuo nina uhakika pia alitoa mimba 3.
Baada ya hapo sina mawasiliano nae ila alivyoroporopo kama mimi nikionana nae au nikimcheki kwenye simu nikimuuliza kuhusu michongo ya kusimamia shoo za kukataa kuzaa atasema tu hana kaba yule.
Nimevurugwa baada ya hapo sikuaga nikasepa nikaenda kula Guinness stout, nikajikuta niko na demu wa kaunta bar moja maarufu hapa Dodoma.
Usiombe yaliyo nikuta yakukute.
Kuna mademu ni maninja sina hamu nimevurugwa sana.
Dunia bado ipo sana hofu ni kwetu sisi walimwengu.
Am disillusioned really.
Wadiz now chopped off.