Huu ni mali ya wachagga. Wananchi wengine tunaufaidi vp?Ni wa Tz si wa wachagga.
Wao akili yao ni mbege na CDM, huo mlima hawana hata habari nao
Umesahau pia sifa zingine : ni mkoa wenye majambazi wengi kuliko kote TZ. Mkoa unao ongoza kwa biashara za magendo, ni mkoa unao ongoza kwa vijana wala msuba.
wanataka tupige kura ili wakenya wafaidi kura zetu! Akk'aa!
Umesahau pia sifa zingine : ni mkoa wenye majambazi wengi kuliko kote TZ. Mkoa unao ongoza kwa biashara za magendo, ni mkoa unao ongoza kwa vijana wala msuba.
Niko Maswa, mpigie yule mangi hapa sokoni anitafute. Nyie tunajua kuwa hampendi kuambiwa ukweli na hii ndio sababu kubwa ya CDM kuonekana chama cha kipuuzi.Omr siamini kama ni wewe unatoa haya maneno ambayo ni ya jumla sana eti "AKILI" ya Wachagga ni Mbege na CDM? Hili ni tusi kubwa ambalo kwa hakika tungejua uko wapi sasa hivi tungetuma vijana wakusake ili uthibitishe maneno yako ya kishenzi.
Mlima Kilimanjaro siyo mali ya Wachagga ni maliasili ya Taifa na ndio maana mapato yote yanayopatikana pale yahusuyo utalii yanagawiwa nchi nzima kwa manufaa ya kila mtanzania. Hivi leo wachagga wakisema Kilimanjaro yao, Wamasai na wasonjo waseme ngorongoro yao, wasukuma waseme Serengeti yao, wameru waseme Meru yao n.k hii nchi ingekalika wapi? je wewe ungekuwa hapo ulipo? Unaonyesha ni jinsi gani akili yako imejaa magamba kiasi cha kutoshindwa kuchambua mambo.
Kitendo cha kuwatukana Wachagga kimeniudhi sana na unatakiwa uombe radhi kwani nakwambia hata ungekuwa hapa Arusha tungekutafuta utueleze ni kwa vipi akili zetu ni Mbege. Kuna madaktari na wataalam wengi wa Kichagga wamekusaidia kufika pamoja na wataalam waliotoa mchango wao mkubwa katika maendeleo ya nchi hii ina maana walitumia mbege hao?
Nimeshapiga kura yangu tayari
sitaki kufanya kitu chochote kinachohamasishwa na hawa wezi. Wametorosha wanyama hadi magogo? Wanatuambia tupigie kura huu mlima ili waendelee kuneemeka wao? Ni bora wafaidi wakenya ambao hata bidhaa wanatengeneza na kutuuzia kuliko haya madudu-watu yanayojali matumbo yao na malaya zao. Acha wakenya waupigie kampeni na waupigie kura
Na wewe ni Mchagga? Au umeoa Uchaggani?
Wao akili yao ni mbege na CDM, huo mlima hawana hata habari nao
We bibie usitake kulalamika bila sababu, kwani ni uongo kwamba nyie ni wapenzi wa mbege? Na kwani uongo kuwa CDM kwao ni kwa kina mangi?Mods: Kipi bora? Hii post iondolewe au Iendelee kukaa hapa isababishe watu wapate ban?
Humuoni kama inatudhalilisha sisi Wachagga?
Hivi hakuna jema sisi wachagga tumeifanyia Nchi hii Mpaka tudharaulike Kiasi hiki?
Ni mkoa upo Tanzania utaenda ukose Mchagga?
Sipati picha Serikali ikisema Wachagga wote warudi kwao kilimanjaro.
Unaambiwa ukienda mkoa wowote ukakosa Mchagga basi hiyo siyo sehemu ya kuishi.
Hivi wewe Kuchi utastaarabika lini?
ndio maana wapemba wengi huko kwenu siku hiziWachagga Tunavutia, tunang'ara, tunapendeza. Inaoenekana watu wengi wangewish kuwa Wachagga
Wao akili yao ni mbege na CDM, huo mlima hawana hata habari nao
Nenda pale benk kuu nenda hazina,nenda muhimbili nenda vyuo vyote vya elimu ya juu ,ndio utajua faida ya kunywa mbegeWao akili yao ni mbege na CDM, huo mlima hawana hata habari nao