NEW NOEL
JF-Expert Member
- May 21, 2011
- 863
- 407
Hivi mnaposema huo mlima ni wa wachaga,tunatumia akili kweli?
Ebu kila mtu akapige kura sasa New7Wonders of Nature
Ebu kila mtu akapige kura sasa New7Wonders of Nature
wizara imewasusia kuhamasisha watanzania kupigia kura mlima
wakuu wachaga mnasemaje kwenye hilo>?mnakubali wizara na waziri wake wawafanyie hivyo?
chezeni wenyewe kwa sababu mnaweza,tunawakubali
msikubali hii chance adimu iwatoke
Wao akili yao ni mbege na CDM, huo mlima hawana hata habari nao
Hivi wewe Kuchi utastaarabika lini?Wao akili yao ni mbege na CDM, huo mlima hawana hata habari nao
wachaga mnasusiwa kwa sababu ya itikadi zenu za siasa,hamjuwi???????
Umesahau pia sifa zingine : ni mkoa wenye majambazi wengi kuliko kote TZ. Mkoa unao ongoza kwa biashara za magendo, ni mkoa unao ongoza kwa vijana wala msuba.nyie waswahili mtaendelea kucheza bao na kupiga miayo kutwa, pale moshi na vitongoji vyake vijana na watu wote wapo busy na utalii wakiongozwa na mh. Ndesamburo aka Ndesa pesa, vijana wanawapandisha wazungu mlima kilimanjaro wanpiga pesa tena in US$ , Makampuni ya kukodisha magari yanapata kazi throughout tourism seasons, wafanyabiashara wenye mahoteli wanapiga pesa mbaya sana, wenye maduka ya bidhaa (retails and mini supermarket) wanapiga hela, wafanyabiashara ndogo ndogo pia wana kama sokoni nao wananufaika, mji wa moshi ni msafi na uliopangika kuliko miji yote tanzania, mbege ni kinywaji cha kimila na inaheshima kuliko hata ghahawa na kashata,
kikubwa zaidi watu wasichofahamu kuhusu mlima kilimanjaro ni kwamba, ile volcano iliyotoka kwenye mlima ule ndiyo iliyotoa udongo wa volcano ambao ndio udongo bora kwa zao la kahawa, hebu jiulize kwanini mkoa huu kati ya mikoa midogo Tanzania lakini ina shule nyingi za sekondari kuliko mikoa yote Tanzania, straight forward hii ni matokeo ya uchumi bora unaotokana na zao la kahawa na mlima kilimanjaro pamoja na zawadi mungu aliyowapa wachaga ya kuwa aggressive in business
mswahili unalalama lalama tuu, kazi hamtaki kufanya ni ufitini tuu,
bakini na njaa zenu
wachaga kanyaga twende
Umesahau pia sifa zingine : ni mkoa wenye majambazi wengi kuliko kote TZ. Mkoa unao ongoza kwa biashara za magendo, ni mkoa unao ongoza kwa vijana wala msuba.
CUF na nyie wala hamna tofauti, wote mtaolewa na CCM halafu tutawatoa kwenye udini na ukabila wenumswahilina! afadhali umekiri
ila usipende kuandika upuuzi kila wakati, fanya kazi ufitini utakulemaza, pilau za bure na mafuso ndiyo yamewaingiza tamaa mkafunga ndoa na ccm
Msema kweli ni sanduku la kura kijana. Mi naona turudi kwenye mada, naona kizungu kimeanza na mchaga akianza kubadili lugha kwenye ubishi basi ujue mambo yanaelekea kwenye panga.wewe mswahili,
whichever you are, time is closing down, i can read from your facade you are suffering from fear and worry
a regime of oppression and suppression is getting close to an end
no more gunpoint democracy come 2015
hivi wewe hujashtuka, mabosi zako wanakwapua kifisadi na wala hawapmo humu jf kubwabwaja, wew na njaa zako ndiyo kutwa majasho yankutoka humu jf ukitetea uovu, nakushauri kula pilau za mwisho mwisho we mswahili,
Nimeshapiga kura yangu tayari
CUF na nyie wala hamna tofauti, wote mtaolewa na CCM halafu tutawatoa kwenye udini na ukabila wenu
Wao akili yao ni mbege na CDM, huo mlima hawana hata habari nao
http://www.new7wonders.com/tunataka source please kuthibitisha madai yako!
Ipiganie nchi yako mkuu..Kilimanjaro inatutangaza sana..mambo ya ufidani mwachie Slaa afe nayo cuz ndio sera yake pekee aliyo nayo!Kwa sababu una hisa na mafisadi wenzako!?
Wao akili yao ni mbege na CDM, huo mlima hawana hata habari nao