- Thread starter
- #41
akina Taletale chaguo la Ali BashiruWABUNGE wenyewe Hawajitambui kwani Waliwekwa tu
akina Taletale chaguo la Ali BashiruWABUNGE wenyewe Hawajitambui kwani Waliwekwa tu
As long as mambo yao yanaenda vizuri hawana habari Hili liwe funzo kwa watanzania wote.Polepole na Msukuma walijaribu wakazodolewa kila Kona na wale viongozi wa chama.
Wengi wanaogopa panga la Hangaya uchaguzi ukifika.
Hivyo wanalinda ugali wa familia na siyo maslahi ya wapinga Kura.
nadhani somo limewaingia. Lilianza kwa wanasiasa, likaenda kwa wafanya biashara wakubwa sasa imekuja kwa hawa wahuni wamachinga. Tusubiri somo kwa wakulima na watumishi wa umma walimu na polisi wakikosa mishaharaCcm wako kwa interest zao si interest za wananchi.
Hiki ni kitu watu walitakiwa wakijue
Kumbe mlikuwa hamjui eh!? Hiyo ndiyo ccm bhaana unatumika kama gogo la chooni. Akisha kunya haangalii nyuma. Kwanza nyie vijana ndio mnaotakiwa kuteswa sana ili mfungue akili msaidie wazee kama akina mbowe wanaolazimishwa wafungwe kwa kuwatetea. Mteswe sana hadi mfungue akili. Siyo kila siku wazee ndio wanaoteswa kwa niaba yenuNdugu wanaJamiiForums habari za asubuhi.
Ni jambo la kushangaza tena sana, kwamba ktk majiji ya Tanzania hasa Dar es Salaam na Mwanza majiji yanayokuwa kwa kasi sambaba na fursa nyingi za kiuchumi na biashara.
Katika majiji haya hivi karibuni na hata sasa wamekuwa wakibughudhiwa na serikali kwa kuwataka wahamie maeneo mengine na waache kupanga biashara zao kwenye hifadhi za barabara.
Pamoja na taratibu zote ambazo zinaendelea kumeonekana uvunjwahi wa haki za wafanyabiashara hawa ikiwemo kuharibiwa biashara zao na mitaji yao. Huku wamachinga wasijue la kufanya na hakuna aliyeko upande wao.
Ile CCM ya wanyonge iko wapi? Wale wabunge na wapiga kura wao umoja mbona hauonekani?
Je, ndio kusema urafiki wa wabunge hawa na wananchi wao upo tu wakati wa kupiga kura?
Dar es Salaam pekee kuna wabunge wasiopungua 8. Mwanza na maeneo mwngine wahunge woote ni wa CCM.
Hiki kigugumizi cha kutoishauri Serikali namna bora ya kuwahamisha huku tukipunguza madhara makubwa kwa wajasirianali hawa kinatokana na nini?
Ndio kusema wao hayawahusu as long as account zao zinasoma kila mwezi?
CCM kalaghabaho. Waliingia bila kuchaguliwa na wananchi kwa hiyo msitarajie msaada wowote wenye maana kutoka kwao.
Jamaa kareem
Hata hivyo wachaguaji sio wananchi tena. Ni vitengo maalumu vya dolaNa reserve hii comment 2025. Watadanganywa kweli na kura watapiga
Vijana wa hovyo hasa wanavyuo mwaka huu ndio wataipata. Si kqa mikopo fyongo kama ileKumbe mlikuwa hamjui eh!? Hiyo ndiyo ccm bhaana unatumika kama gogo la chooni. Akisha kunya haangalii nyuma. Kwanza nyie vijana ndio mnaotakiwa kuteswa sana ili mfungue akili msaidie wazee kama akina mbowe wanaolazimishwa wafungwe kwa kuwatetea. Mteswe sana hadi mfungue akili. Siyo kila siku wazee ndio wanaoteswa kwa niaba yenu
Hili watu hawalijui. Ukiwauliza watakwambia 2025 tutajibu. Sasa wasubir 2025 ndio watajua kura haina nguvu tenaHata hivyo wachaguaji sio wananchi tena. Ni vitengo maalumu vya dola
🤣🤣kazi kweliKwa sasa sisi CCM mtuache kabisa kwa sababu tupo kwenye kutengeneza tatizo, baadaye tuweze kulitatua tupate ujiko utaotusaidia kwenye kura...
Jibu: wateseke sana hadi wajitambue! imefikia hadi tunaona vijana wenye nguvu wanaishia kujipendekeza na kuungana na mfumo kandamizi! Wateswe sana!Vijana wa hovyo hasa wanavyuo mwaka huu ndio wataipata. Si kqa mikopo fyongo kama ile
"Condom inatumika mara moja tu"Ndugu wanaJamiiForums habari za asubuhi.
Ni jambo la kushangaza tena sana, kwamba ktk majiji ya Tanzania hasa Dar es Salaam na Mwanza majiji yanayokuwa kwa kasi sambaba na fursa nyingi za kiuchumi na biashara.
Katika majiji haya hivi karibuni na hata sasa wamekuwa wakibughudhiwa na serikali kwa kuwataka wahamie maeneo mengine na waache kupanga biashara zao kwenye hifadhi za barabara.
Pamoja na taratibu zote ambazo zinaendelea kumeonekana uvunjwahi wa haki za wafanyabiashara hawa ikiwemo kuharibiwa biashara zao na mitaji yao. Huku wamachinga wasijue la kufanya na hakuna aliyeko upande wao.
Ile CCM ya wanyonge iko wapi? Wale wabunge na wapiga kura wao umoja mbona hauonekani?
Je, ndio kusema urafiki wa wabunge hawa na wananchi wao upo tu wakati wa kupiga kura?
Dar es Salaam pekee kuna wabunge wasiopungua 8. Mwanza na maeneo mwngine wahunge woote ni wa CCM.
Hiki kigugumizi cha kutoishauri Serikali namna bora ya kuwahamisha huku tukipunguza madhara makubwa kwa wajasirianali hawa kinatokana na nini?
Ndio kusema wao hayawahusu as long as account zao zinasoma kila mwezi?
CCM kalaghabaho. Waliingia bila kuchaguliwa na wananchi kwa hiyo msitarajie msaada wowote wenye maana kutoka kwao.
Jamaa kareem
Kama huna nyingine unaweza ukaosha hiyo hiyo uka-reuse"Condom inatumika mara moja tu"
tayari baadhi ya makundi wameshapata somo. Ngoja ile namba waliyosema tuendelee kuisoma.Jibu: wateseke sana hadi wajitambue! imefikia hadi tunaona vijana wenye nguvu wanaishia kujipendekeza na kuungana na mfumo kandamizi! Wateswe sana!
Hivi Tafsiri ya Machinga ni nini? Yaani dhana nzima ya Machinga yangu huko ilikoanzia!Ni kwa sababu machinga wanawakilisha kundi kubwa la watanzania. Hata kama we ni Mbunge wa Nkasi bado kuna wamachinga Dar wa kutoka Nkasi
Wamedekezwa na hawa hawa waliowapuuza sasaHivi Tafsiri ya Machinga ni nini? Yaani dhana nzima ya Machinga yangu huko ilikoanzia!
Je, ni halali wao kujenga vibanda barabarani?
Je, Ukiwa Machinga ndio unyime haki za wengine kama vile watembea kwa miguu?
Na mengine mengi kama vile kupanga vitu mbele ya duka la mtu mwingine n.k
Hilo ndilo jibu la maswali yangu?Wamedekezwa na hawa hawa waliowapuuza sasa
Jipu langu liko indirect. Kuwa hawana haki bali wamefanywa hivyo na hao wanaotaka kuwatimu kwa kuwatumia mtaji wa kisiasa.Hilo ndilo jibu la maswali yangu?
Anyway, asante na Jumaa Kareem
Wabunge ndio wanataka kuwatimua au sheria ndio inafuatwa? Mf. Sheria ya Road reserves.Jipu langu liko indirect. Kuwa hawana haki bali wamefanywa hivyo na hao wanaotaka kuwatimu kwa kuwatumia mtaji wa kisiasa.
washauri wa jiwe ni hawa hawa akina Samia na watendaji ni wale wale.Wabunge ndio wanataka kuwatimua au sheria ndio inafuatwa? Mf. Sheria ya Road reserves.
Jiwe kaiharibu sana hii nchi aisee. Pole sana kwa Rais wa sasa na watendaji wake wote.
Kwahiyo haturuhusiwi kuuliza maswali maana tutaonekana tunaleta mabishano mkuu ?Samahani siko kwa ajili ya kubishana