Wabunge wawili wa Viti Maalum CHADEMA wahamia NCCR Mageuzi


Tutegemee kushindwa kwani kuna ushindani au matumizi mabaya ya madaraka? Wananchi mbona tumeshaamka muda mrefu, ila hatuna muda wa kushiriki siasa za kishamba. Msigwa wa cdm, kama ana mambo yake yanamuhusu yeye. Kwani ni hayo ya Msigwa ndio yatainyima kura cdm, basi ccm isingekuwepo hata hii leo.

Siitupi lawama ccm bali nakuambia kwa sasa hamna siasa, bali kuna matumizi mabaya ya madaraka ndani ya siasa. Hatuhitaji kushiriki uchaguzi ambao anayetangazwa anatangazwa bila ridhaa ya wananchi, huku wapiga kura wa upinzani wakiachwa na vilema. Kuna njia nyingi za kupata viongozi na wali sio lazima hiyo njia ya kura, kwani hata ccm hawako hapo kutokana na kura.

Malalamiko yanaeleweka na sio hizo swagga za kuhama chama baada ya kuhongwa na kuahidiwa vyeo vya mteremko. Malalamiko yana sehemu husika ndani ya chama,nje ya vikao vya chama ni utapeli kama utapeli mwingine.
 
Mmetukana Lijuakali alipoibua matumizi mabaya fedha na maovu kadhaa ya Mbowe. Leo unawasakama akina mama, wazazi wetu. Mtu mxima hovyo.

Sikiliza kilio chao.

 
Bring back our 1.5trillion
Mmetukana Lijuakali alipoibua matumizi mabaya fedha na maovu kadhaa ya Mbowe. Leo unawasakama akina mama, wazazi wetu. Mtu mxima hovyo.

Sikiliza kilio chao.


In God we Trust
 
Mojawapo wa sababu ambazo wamezitoa ni upendeleo uliokithiri CHADEMA kiasi cha kwamba walikuwa hawapewi nafasi za kuchangia Bungeni. Kwa vile wao hawakujikarantini kama wenzao ilikuwa nafasi muafaka wa kuonyesha uwezo wao wa kuchangia kwa hoja. Mbona hawakufanya hivyo? Kinachosikitisha ni kuwa wale waliochangia walionyesha wazi kuwa hawana uwezo wa kutimiza wajibu wao wa kuisimamia serikali na kutetea maslahi ya waliowatuma.

Amandla...
 
Wananchi ni Seti kubwa sana ikiwamo pamoja na aliyekuwa mgombea wa CHADEMA wa kiti cha urais mwaka 2015.
 
Wamekataa udikteta wa mbowe,ukatwe 30% ya mshahara kila mwezi halafu mtu fulani tu akatumbue hiyo hela ng'ambo.Utakuwa na akili timamu?Bora wasepe tu na hao waliobaki wamebaki kufanya nini?Ngoja jumba bovu liwaangukia October 2020 siyo mbali na ndio utakuwa mwisho wa siasa za kilaghai.
 
Hivi tangu 2015 mpaka awakujua makosa ya Ufipa?Awa ni walaghai tu
 
Kama kuungua nyumba ya cdm haikuanza leo, labda mtu mjinga tu ndiyo anaweza kuona kuwa yanayo tokea hii leo ni mapya kisiasa hasa kipindi cha kuelekea uchaguzi.

Kama mwenyekiti wa ccm alitangaza wazi wazi kuwa atahakikisha upinzani unakufa kabla ya mwaka 2020 wewe kajamba nani unashangaa kitu gani?
Wafia CHADEMA wanajitahidi kuuzima huo moto na Petrol.......

In God we Trust
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…