gigabyte
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,204
- 5,780
Acha ujinga wewe.kwani hayo si nimaisha binafsi ya watu.au aliyekwambia siasa ni ugomvi na uadui ni nani.Hayo mambo ya siasa na vyama iko siku yatapita na maisha yataendelea kati yao.ficha ujinga wako japo kidogo.chadema kila mtu anajigawia mwanamke halafu anampa viti maalumu
Ukitaka kujua.chadema ni chama cha kisanii watu wapo kiulaji zaidi ni pale boniface makene msaidizi wa karibu sana wa mbowe,mkewe anaasi chama,yeye hana nguvu za kumzuia
Jesca kishoa mbunge wa viti maalum,mumewe David kafulila ni RAS Songwe
Tukiwaambia hakuna chama humo mnabisha