YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,904
Yaani wasingemchukua Lowasa Chadema ingeweza shinda hata uraisi sababu Lowasa alikuwa mtego CCM wangempitisha Watu wangempigia kura mgombea wa Chadema wakiwemo wana CCM sababu walikuwa hawamtaki kwa kuwa ni fisadi.Hivyo Chadema ingeshinda uraisi.Walipomchukua Lowasa wakajimaliza wenyewe kura zikaenda CCM.Chadema ilikuwa imeshajijenga vya kutosha bila Lowasa ilitakiwa isivuruge last minute ingemuweka Slaa hata Mbowe au yeyote Ila sio Lowasa.Chadema ilikufa pale ilipobadiri gia angani na kumchukua LOWASA hili kosa limekigharimu chama hadi kinakufa