peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,830
- 21,460
Nimejaribu kufikiria hili swali sijapata majibu.
Mfano wabunge wa Mkoa wa Dar es salaam wanakwenda kuwaambia nini wapiga kura wao kuhusu kuuzwa kwa Bandari zote?
2. Mbunge wa Jimbo la Hai huko Kilimanjaro wapiga kura wake wamemkataa tangu apitishe mkataba wa kuuza nchi.
3. Mbunge wa Arusha mjini wapiga kura wanakusubiri kwa hamu.
4. Mbunge wa Moshi mjini Nenda Jimboni kwako haraka kesho kuna mziki mkubwa wa Chadema.
5. Waziri Mkuu amrpiga kimya susla la kuuzwa kwa bandari.
6. Saa100 ujio wa kagame ulikuwa ni muuganiko wa DP world kununua bandari ya Dar kwa sababu DP world ilishanunua bandari kavu Kigali na bandari kavu haiwezi kufanya kazi bila bandari ya Dar, utawaambia nini wanaccm mama?
Mfano wabunge wa Mkoa wa Dar es salaam wanakwenda kuwaambia nini wapiga kura wao kuhusu kuuzwa kwa Bandari zote?
2. Mbunge wa Jimbo la Hai huko Kilimanjaro wapiga kura wake wamemkataa tangu apitishe mkataba wa kuuza nchi.
3. Mbunge wa Arusha mjini wapiga kura wanakusubiri kwa hamu.
4. Mbunge wa Moshi mjini Nenda Jimboni kwako haraka kesho kuna mziki mkubwa wa Chadema.
5. Waziri Mkuu amrpiga kimya susla la kuuzwa kwa bandari.
6. Saa100 ujio wa kagame ulikuwa ni muuganiko wa DP world kununua bandari ya Dar kwa sababu DP world ilishanunua bandari kavu Kigali na bandari kavu haiwezi kufanya kazi bila bandari ya Dar, utawaambia nini wanaccm mama?