Bishop Hiluka
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 7,140
- 14,678
Nitakuwa wa kwanza kushangaa kama Pinda hata jiuzulu kutetea na kulinda hadhi yake
Kama unategemea jambo hili kutokea kwa viongozi wa Tanzania basi utasubiri hadi Yesu atarudi...
Nitakuwa wa kwanza kushangaa kama Pinda hata jiuzulu kutetea na kulinda hadhi yake
<br />Mwanakijiji umeonesha Umbumbu mkubwa kwa kutofahamu kazi za Mbunge! Katiba ya JM wa Tanzania haijaonesha kazi ya Mbunge wa Upinzani ni ipi na ya Chama kinachotawala ni ipi!? Kazi ya Bunge na Mbunge ni kuibana serikali!
Mwanakijiji umeonesha Umbumbu mkubwa kwa kutofahamu kazi za Mbunge! Katiba ya JM wa Tanzania haijaonesha kazi ya Mbunge wa Upinzani ni ipi na ya Chama kinachotawala ni ipi!? Kazi ya Bunge na Mbunge ni kuibana serikali!
Pinda hawezi kujiuzulu na Bunge la chama chake likabakua . Akijiuzulu LAZIMA Kikwete avunje na bunge ili wote waanze upya.
Ninachomaanisha ni kwamba, je wabunge wa ccm wako tayari kulioa gharama ya kuiumbua na kuichachafya serikali yao? Au wako tayari kyonekana,wanaichachafya tu? Pinda anaweza kutusaidia hapo kesho jwa kutoa hojakuwa Bunge limpigie kura ya roll call ya kuwa ba imani naye. Wasio na imani naye wakuwa wengi atajiuzulu. Wajati huohuo Kikwete awaambie wabunge wa ccm kuwa wakioiga kura ya kutokuwa na imani na pinda, atavunja bunge. Tuone ni kina nani ccm kweli wanataka mabadikiko.
<br /><font color="#4b0082"><span style="font-family: century gothic">Any way tunaweza kujaribu kujenga hoja nzuri hapa kuwa PM ajiuzulu sawa, lakini lakini tujiulize kila anacho shauri PM lazima Rais akifuate?<br />
Si mtetei PM kama mtu safi lakini siioni pia hoja nzito ya kumfanya ajiuzulu ati kwasabubu rais hajafata ushauri wake.<br />
Najua tunapenda kuchukua maneno ya Hayati Nyerere kama msaafu, lakini yeye alifuata kila ushauri aliopewa na ma PM wake?<br />
Kuna mambo mengi mno Rais anayoshauriana na PM wake na wasahauri wengine, tena wakati mwingine yanakuwa ya kuvutana hoja lakini mwisho wa siku lazima waje na kitu kimoja.<br />
La JK sina tatizo nalo anapaswa kujipima</span></font>
sawa sawapinda akijiuzuru na mimi najiuzuru kuwa ntu
Jamani enough of the talking, complaining etc!
Mimi nataka kulianzisha;
Mkinihakikishia yafuatayo:-
1: Kupigania Reform (maandamano n migomo)
2: Mtanitunzia mwanangu na mama yangu
NIJIUNGUZA MOTO pale askari monument!
Nasubiri response!