Pelosi
Member
- Jul 22, 2010
- 83
- 4
ukweli nikwamba kuna nguvu kubwa nyuma ya haya yote, ni kama tsunami ndani ya bahari na tunalioliongelea sisi ni athari zake na sio chanzo! hebu turudi nyuma na kutafakari haya yametokea wapi? kwanini CAG and Katibu mkuu wafanye maamuzi hayo aliyoyafanya kwani ni dhahiri kuwa wanajua wanachokifanya!!! pia waziri mkuu hakukurupuka, naye pia alijua anachokifanya!
wakuu, hivi ni vita vya mafahali wawili... i see this to be deeper than what we have managed to ponder so far!
wakuu, hivi ni vita vya mafahali wawili... i see this to be deeper than what we have managed to ponder so far!