Wabunge wa CCM aibu

Wabunge wa CCM aibu

Hakuna kosa hapo CCM itabaki kutawala nchi hatuwezi kuwapa wapinzani elimu hawana.

Hakuna mwenye sera mnapiga kelele bungeni hata hamjui sababu yakuwepo bungeni wamepoteza muelekeo wabunge wengi waupinzani darasa la 7.

Unaongea nini wewe mleta mada CCM imeshinda 80percent kwenye uchaguzi wa serekali za mitaa bado sana kupewa nchi hamna uwezo wakuendesha nchi.

Hivi wapuuzi kama wewe bado mpo tz hii? pole sana kwani wewe ni wa kuhurumiwa tu
 
CCM inatia kichefuchefu.Nikiona nguo za kijani tumbo huanza kuchafuka na kutapika.Watanzania kwa umoja wetu tuungane kuwacharaza bakora octoba. Wabunge wa ccm akili zao zimejaa mifupa hakuna ubongo kabisa ndio maana kila jambo wanasema ndioooooooooookama mazezeta.
 
Wabunge wengi wa CCM in zero brain zaidi ya nusu wameingia kwa mgongo wa chama sio kwa uwezo wao binafsi wa kuchambua mambo.
 
mkuu wala usiumize kichwa magamba ndivyo yalivyo dawa nikuwamwaga oktoba 2015
 
Hapo ndiyo tujue wabunge tuliowachagua ina maana wengi hawapo bungeni kabisa yaani miili yao ndiyo ipo lakini mawazo hayapo. kwani mda wote waliokua wanachangia walikua hawajui aliyeleta hoja ni nani? inaonyesha wakati wa kupiga kura wanaamshana bila kujua kwa kuwa mwenzake ndo kamuamsha yeye ni ndiyoooo tu kufata mkumbo
 
Mwenye access na video ya hiyo event tafadhali upload hapa ili hii aibu isambazwe kwa wale wote walio na digital devices. Ni wajibu wa kila mtanzania ku-spread awareness kwa society ya kwetu, na hiyo video naamini itasaidia kuwaamsha watanzania wengi ambao bado wako kwenye usingizi pono.
 
Ccm ni tatizo la taifa.kuna wamama flan wako pale kwa bungee duu mpaka unajiuliza naye atakuta mafao octoba hapo ya mamilion any way.ngoja niendeleze lindo huku asije boss wangu akanitoa roho nikaludi wilayan chunya kijiji cha galula bure..but inaumaa hii bongoo
 
Ni makosa yetu sisi wananchi.... mle bungeni tulipeleke idadi kubwa ya watoro na wavivu wa kufikiri...

Nasapoti sana Katiba ya Warioba...kile kipengele cha wananchi kumwajibisha mbunge wao... Haudhurii vikao...Hajengi hoja za maana...anapaza sauti za Ndiyo/Hapana kama kichaa kutetea maslahi binafsi/ya chama....Dawa ni kumwajibisha tu...make hakuna namna nyingine.... Kwa Katiba ya Warioba utendaji wa wabunge kama wawakilishi wa wananchi ungeimarika maradufu...!!
 
Mwenye access na video ya hiyo event tafadhali upload hapa ili hii aibu isambazwe kwa wale wote walio na digital devices. Ni wajibu wa kila mtanzania ku-spread awareness kwa society ya kwetu, na hiyo video naamini itasaidia kuwaamsha watanzania wengi ambao bado wako kwenye usingizi pono.

Wazo zuri sana hili mkuu.. Nitajaribu kuitafuta hiyo video nione kama nitaipata..

Mkuu Tyta mtaalamu wa picha za mnato na video naomba usaidie kwa hili pia..
 
Last edited by a moderator:
Ndiyo maana watu wanasema hao jamaa wamebakishiwa akili za kwendea chooni tu.
 
Hivi huyu Ester Bulaya mbona haeleweki. Yuko CCM au UKAWA?

Mmeshalemazwa na ufisadi!
Watetezi wa wanyonge hamuwezi kuwaelewa! Ester Bulaya alishasoma alama za nyakati kitambo sana! Huyu ana uhakika wa kurudi Bungeni! CCM Oyee!
 
Hakuna kosa hapo CCM itabaki kutawala nchi hatuwezi kuwapa wapinzani elimu hawana.

Hakuna mwenye sera mnapiga kelele bungeni hata hamjui sababu yakuwepo bungeni wamepoteza muelekeo wabunge wengi waupinzani darasa la 7.

Unaongea nini wewe mleta mada CCM imeshinda 80percent kwenye uchaguzi wa serekali za mitaa bado sana kupewa nchi hamna uwezo wakuendesha nchi.

Wapo waTanzania wajinga kama unavyojipambanua hapa lkn mnapungua. Akili uliyonayo ya kuweza kutetea ujinga ule nisawa na kula mavi yako. Kitendo ambacho hata nwendawazimu hafanyi. Ni elimu ipi imetumika hapo ni sera ipi. Lakini ukubali ukatae hatimae mabadiriko yatatokea TZ. Upuuzi uleule kwenye bunge la katiba na sasa wanaendeleza bunge la bajeti. Shuhuda wa mabadiriko hayo utakuwa mmoja wao tegemea hilo.
 
Back
Top Bottom