Hakuna kosa hapo CCM itabaki kutawala nchi hatuwezi kuwapa wapinzani elimu hawana.
Hakuna mwenye sera mnapiga kelele bungeni hata hamjui sababu yakuwepo bungeni wamepoteza muelekeo wabunge wengi waupinzani darasa la 7.
Unaongea nini wewe mleta mada CCM imeshinda 80percent kwenye uchaguzi wa serekali za mitaa bado sana kupewa nchi hamna uwezo wakuendesha nchi.
Hivi wapuuzi kama wewe bado mpo tz hii? pole sana kwani wewe ni wa kuhurumiwa tu