Wabunge wa CCM aibu

Wabunge wa CCM aibu

Asante Mungu kwa kuendelea kudhihirisha unafiki wa maccm. Hii chama imechoka imechakaa
Ni ukweli wa dhahiri kuwa Sisiem hivi sasa imekuwa choka mbaya.

Lakini cha kushangaza wanapoambiwa na wabunge wa upinzani kuwa wamechoka na wanahitaji kupumzishwa, wanataka kurusha ngumi!

Hata hivyo kitu ambacho angalau kinatia matumaini ni kuwa 'uhai' wa hao magamba unaelekea kufika kikomo chake nwezi Oktoba mwaka huu.
 
Naomba hansard iweke kumbukumbu vizuri kwa ajili ya vizazi vijavyo wajionee baadhi ya mambumbumbu ya ccm .
 
Tunasema serekali ya wachovu tunakuwa tupo sahihi hao wabunge wa ccm mizigo wao hawaangalii hoja wapo kishabiki zaidi.
 
Kukosea kwa Naibu Spika ni mpango wa mwenyezi mungu ili hata watanzania waliolala sasa waamke na waikatae CCM.

Hilo tukio si la bahati mbaya bali ni mpango wa mungu ili mapenzi yake kwa watanzania yatimie.
 
Hata yule Mwanasheria mfano anapiga kelele hajui anachoongea nchi sio jimbo muelewe

Wacheni mambo ya kukaa kwenye computer mka post upuuzi wenu wachakabisa hii nchi sio ya kuchezewa mleta mada usirudie
 
Hata yule Mwanasheria mfano anapiga kelele hajui anachoongea nchi sio jimbo muelewe

Wacheni mambo ya kukaa kwenye computer mka post upuuzi wenu wachakabisa hii nchi sio ya kuchezewa mleta mada usirudie

Sawasawa.
 
Mkuu hii imenishangaza sana.. Hawa sijui ni wabunge wa aina gani

Na wanasubiri mafao ya milioni 300 hiyo Julai kwa kufanya vihoja kama hivi. Kweli aliyesema demokrasia ni mnyama aghali sana hakukosea.
 
Hivi huyu Ester Bulaya mbona haeleweki. Yuko CCM au UKAWA?
 
Hakuna kosa hapo CCM itabaki kutawala nchi hatuwezi kuwapa wapinzani elimu hawana.

Hakuna mwenye sera mnapiga kelele bungeni hata hamjui sababu yakuwepo bungeni wamepoteza muelekeo wabunge wengi waupinzani darasa la 7.

Unaongea nini wewe mleta mada CCM imeshinda 80percent kwenye uchaguzi wa serekali za mitaa bado sana kupewa nchi hamna uwezo wakuendesha nchi.

The moron is back full of nonsense.
 
hawa wapuuzi imetosha sasa, hili liwe bunge lao la mwisho.CCM ni janga kwa taifa
 
Ingawaje Siko Chama Chochote Lakini Nimeona Jinsi Uchama Unatumika Bungeni Hata Kama Kuna Jambo Lenye Maslahi Kwa Taifa Linaweza Kukwamishwa Kwasababu Ya Uchama
ccm imejenga na inaendelea kujenga Taifa la wapenda vyama kuliko nchi,Huwa najaribu kuwaza kwa Sauti Kwamba siku akitokea mwendawaz kama Idd Amini Enzi hizo serikali ikawaomba watanzania wajitolee watajitolea ccm tu au itakuaje?sijui
 
Back
Top Bottom