Huitaji kuwa na degree kutambua upumbavu wa wabunge wa CCM.. Hichi kisa kimetokea muda huu bungeni.
Baada ya Ester Matiko kutoa hoja, sasa Naibu Spika anahoji bunge..
Naibu Spika : Wanaohafiki hoja ya Ester Bulaya (alikosea jina) waseme NDIO..
Wabunge wa CCM: Ndioooooooooooo
Naibu Spika : Samahani sio Ester Bulaya, ngoja nihoji tena "Wanaohafiki hoja ya Ester Matiko wasime ndio"
Wabunge wa CCM : "kimya"
Naibu Spika : wasiohafiki hoja ya Ester Matiko wasime sio.
Wabunge wa CCM : Siooooooooo
Ina maana wao wanapiga kura kwa kusikiliza mijadala au kusikiliza majina?? Ina maana kama jina ni la mpinzani jibu ni sio hata kama hoja hiyo inafaa. Maana mwanzo walipohoji kwa jina la Ester Bulaya waliikubali hoja..