mkuu angalia tu usijekufa kwa presha na hasira tukapoteza nguvu kazi ya taifa cha msingi tukomae tu awa wapuuzi wasirudi afta oktober
Huitaji kuwa na degree kutambua upumbavu wa wabunge wa CCM.. Hichi kisa kimetokea muda huu bungeni.
Baada ya Ester Matiko kutoa hoja, sasa Naibu Spika anahoji bunge..
Naibu Spika : Wanaohafiki hoja ya Ester Bulaya (alikosea jina) waseme NDIO..
Wabunge wa CCM: Ndioooooooooooo
Naibu Spika : Samahani sio Ester Bulaya, ngoja nihoji tena "Wanaohafiki hoja ya Ester Matiko wasime ndio"
Wabunge wa CCM : "kimya"
Naibu Spika : wasiohafiki hoja ya Ester Matiko wasime sio.
Wabunge wa CCM : Siooooooooo
Ina maana wao wanapiga kura kwa kusikiliza mijadala au kusikiliza majina?? Ina maana kama jina ni la mpinzani jibu ni sio hata kama hoja hiyo inafaa. Maana mwanzo walipohoji kwa jina la Ester Bulaya waliikubali hoja..
Hivi wapuuzi kama wewe bado mpo tz hii? pole sana kwani wewe ni wa kuhurumiwa tu
CCM wanafanya kila mbinu ili waendelee kutawala; hivi sasa wamekuja na mbinu ya kutowaandikisha wapiga kura sehemu zote ambazo walishindwa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa!! Huko Rungwe magharibi ambako walishindwa vibaya sana sehemu za Kiwira hawaandikishi wapiga kura!! Shame Shame!!!!!Aibu nyie magamba!!!!!!!!
Sasa ulitaka wasisikilize majina?
Unanchekesha!
hujaelewa hoja yake.Anahoji ushabiki wa ki vyama kwenye maswala muhimu yanayohusu uhai wa binadamu wenzetu.Sasa ulitaka wasisikilize majina?
Unanchekesha!
anaelewa sana,ila ni kujitoa akili tu.mada kama hizi magamba huwa hawana mchango zaidi ya pumbahujaelewa hoja yake.Anahoji ushabiki wa ki vyama kwenye maswala muhimu yanayohusu uhai wa binadamu wenzetu.
Punguza jaziba mkuu.Mpumbavu NI Wewe Mtuma Post Sio Wabunge Wa CCM, we Unataka Waseme Unalotaka Wewe???.
Unataka Watoe Mawazo ya Ukawa???
Kama Kuibana Serikali,Wanaibana Pale Inapostahili Sio Lawama Zisizo Na Mpangilio Kama Wabunge wa UKAWA, Ambao Wanageuza Bunge Uwanja wa Kampeni Badala ya Kujadili Bajeti.
Wakuu ya kweli haya.hili liingie kama sehemu ya maajabu
Naomba hansard iweke kumbukumbu vizuri kwa ajili ya vizazi vijavyo wajionee baadhi ya mambumbumbu ya ccm .
Ulimwengu Mbaya, kupitisha ama kukwamisha jambo hata likiwa na maslahi ya taifa hakutegemei Uchama, kunategemea UCCM, period. Idadi ya Wabunge wa CCM huko bungeni ni zaidi ya robo tatu na kwa msingi huo Uchama wa Vyama vingine vya Upinzani una zero effect katika maamuzi ya Bunge.
Hata Wapinzani wakipiga vipi kelele, mswada utapita au kukwamishwa kutegemeana na matakwa ya Wabunge wa CCM walioamua kutanguliza maslahi ya chama mbele ya Taifa. Kutoshiriki kwako kwa mambo ya siasa ni mojawapo ya sababu zilizosababisha Taifa lako kuzama na kufikia hapa tulipo.
Kutokuwa na kadi ya chama si pasipoti ya kutounga mkono juhudi za wapenda mabadiliko. Katika harakati hizi huwezi kuwa neutral, kufanya hivyo ni kusaliti matumaini ya wananchi. Mimi kwa mfano ingawa si mwanachama kwa maana ya kuwa na kadi, nawaunga mkono UKAWA na hili sifichi.
Sasa ulitaka wasisikilize majina?
Unanchekesha!