Menyainganyi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2013
- 1,170
- 1,106
Ewe punguani haujuwi kuwa pale kuna wanachama wa kambi tofauti?
Sasa mbunge wako kama anaakili anachotakiwa awakinashe wa chama kingine wamuunge mkono. Na tumeshawahi kuona kuna hoja wabunge wa vyama vyote wanaziunga mkono wakiona zina maslahi ya jumla kwa Taifa. Hujayaona wewe?
Lakini hivi vi hoja vya mradi tu mpinzani anapinga kwa kuwa ni mpinzani, hivyo tunawahenyesha tu.
Sawasawa.... Unafanya kazi yako safi kabisaa....!