Nchi hii ni ya watu wote sio ya wakulima ba wafanyakazi tu ni ya wote wakiwemo wafanyabishara ambao ndio walipa kodi wakubwa kuliko hao wakulima na wafanyakazi Hao ndio wenye TRA hasa.Mkulima anachangia shilingi ngapi kwenye kodi ya taifa ? Au mfanyakaxi wa serikali ana mchango gani wa maana TRA sababu hata mshahara wake tu anategemea serikali ikusanye kodi kwa wafanyabiashara ndio alipwe .Niwafa kupe tu.mnyonyaji wa kodi za wafanyabiashara
Mleta mada unatakaje hutaki walipa kodi wakubwa wawepo bungeni wajae wala kodi kodi?
Wapi kwa maslahi ya kodi zao wanalupa na maslahi ya kusimamia kodi wanalipa huko bungeni na pia kusimamia maslahi ya wafanyabiashara wenzao na wananchi wao
Mleta mada unatakaje hutaki walipa kodi wakubwa wawepo bungeni wajae wala kodi kodi?
Wapi kwa maslahi ya kodi zao wanalupa na maslahi ya kusimamia kodi wanalipa huko bungeni na pia kusimamia maslahi ya wafanyabiashara wenzao na wananchi wao