Hata iweje huyo ndie rais wetu 2015.
Jamani tuwe tunaweka post za maana kama hatuna cha maana tulale.Wewe unapanga ambao hawatarudi bungeni wewe ni Mungu.Je ukisema fulani hatarudi halafu akarudi utaficha wapi uso wako.
Hata iweje huyo ndie rais wetu 2015.
Kumbe na wewe ni raia wa kule Gombe.
Kamata orodha hiyo BrooWanajamvi,
Kutokana na bunge letu kutawaliwa na ngojera na mipasho ni dhahiri kwamba kutakuwa na lundo la wambunge ambao hawatarudi bungeni 2015. Mfano hai wa kundi hili ni Juma Kamia, Shibuda, John Komba. Hawa ni maarufu kwa mipasho zaidi ya Khadija Kopa. Kwa heshima na taadhima naomba iongezeeni list hii ndefu. Kwa manufaa ya kuujuza uma ni vyema kutaja sababu zitakazopelekea kutokurudi kwao..!
wenje.
Tundulisu
mnyika.
Nassary
MSIGWA
KIWIA.
hao wameponzwa na dhambi mmoja tuu ya kuwa sehemu ya maamuzi ya kijuha na propaganda za kijinga zidi ya zitto na ikumbukwe kwamba hao wengi walipa ubunge kupitia jina la chadema na kupitia kupotea kwa umaarufu wa chadema mbele ya wananchi basi hao watapoteza majimbo.
WATU WATASHANGAA SANA MAANA 2015 CHADEMA BADALA YA KUONGEZA IDADI YA WABUNGE ITAPUNGUA.
WATALIA NA KUSAGA MENO.
TENA HAO WAKINA WENJE NDIO WALA WASIFIKIRI KABISA KUHUSU UBUNGE.
Wanajamvi,
Kutokana na bunge letu kutawaliwa na ngojera na mipasho ni dhahiri kwamba kutakuwa na lundo la wambunge ambao hawatarudi bungeni 2015. Mfano hai wa kundi hili ni Juma Kamia, Shibuda, John Komba. Hawa ni maarufu kwa mipasho zaidi ya Khadija Kopa. Kwa heshima na taadhima naomba iongezeeni list hii ndefu. Kwa manufaa ya kuujuza uma ni vyema kutaja sababu zitakazopelekea kutokurudi kwao..!
joseph selasini(chadema) mbunge wa rombo yaani huku jimboni hajafanya chochote zaidi ya kujenga ghorofa nyumban kwake
Ulitaka akujengee??
Umemsahau Athumani Mvutakamba,1-Hamis Kigwangala(Nzega)
2-Ezekiel Maige(Msalala)
3-Selemani Zedi(Bukene)
Hawa kurudi mjegoni 2015 Ni mbinde Ni rahisi kwa senene(panzi) kupenya kwenye matobo ya mosquito net.Labda kwa ndumba.