Wabunge hawa hawatarudi Bungeni 2015

Wabunge hawa hawatarudi Bungeni 2015

Status
Not open for further replies.
wenje.
Tundulisu
mnyika.
Nassary
MSIGWA
KIWIA.
hao wameponzwa na dhambi mmoja tuu ya kuwa sehemu ya maamuzi ya kijuha na propaganda za kijinga zidi ya zitto na ikumbukwe kwamba hao wengi walipa ubunge kupitia jina la chadema na kupitia kupotea kwa umaarufu wa chadema mbele ya wananchi basi hao watapoteza majimbo.

WATU WATASHANGAA SANA MAANA 2015 CHADEMA BADALA YA KUONGEZA IDADI YA WABUNGE ITAPUNGUA.

WATALIA NA KUSAGA MENO.
TENA HAO WAKINA WENJE NDIO WALA WASIFIKIRI KABISA KUHUSU UBUNGE.

Hao lazima warudi kwani ndiyo wanaoipelekea serikali moto wa makalio na inajamjamba nyingi wanapohoji maslahi ya wananchi ............hayo majembe yanaifanya CCM ikose usingizi.
 
Nyambari nyangwine
kihiyo ole-medeye
hilary aeshi
rage
ole sendeka
ally kessy
makinda
pinda
H.kigwangalla
mwaiposa
mrema
cyrill chami
lusinde
hawa ghasia
said arfi
mtemvu
serukamba

hawa wakirudi
Invisible nipe ban ya maisha
 
Last edited by a moderator:
TIBAIJUKA huyu mama katerekeza jimbo kabisa hakuna lolote alolofanya tofauti na alivyoshtuka juzi akaleta mradi wa ujenzi wa nyumba za kuuza, Barabara zote jimboni kwake nyanganyanga, ofisi za utawala za kata ni aibu tupu, mnyauko umekuwa dili kwake kwani baada ya kuwapeleka watu uganda alipata Ng'ombe wengi na kusahau majukumu yaliyowapeleka, ameshindwa kutetea wakulima wa kahawa ambao ni wapiga kura wake ili anagalau bei ipande. Amebaki kutembea na vyungu vya pilau kwenye mikutano ni ziara za kusalimia wapiga kura wake, Ana kiburi cha ajabu kwani alishawahi kuwaambia wapiga kura kwamba hata wakimnyima kura 2015 wasitegemee kuwa anaweza kuishi Muleba. Wengine ni Mwijage, Rweikiza, Asumpter ambao wamekuwa wawakilishi wa kuunga mkono hoja kwa asilimia mia kwa mia badala ya kutetea maslahi ya wananchi waliowatuma
 
Wanajamvi,
Kutokana na bunge letu kutawaliwa na ngojera na mipasho ni dhahiri kwamba kutakuwa na lundo la wambunge ambao hawatarudi bungeni 2015. Mfano hai wa kundi hili ni Juma Kamia, Shibuda, John Komba. Hawa ni maarufu kwa mipasho zaidi ya Khadija Kopa. Kwa heshima na taadhima naomba iongezeeni list hii ndefu. Kwa manufaa ya kuujuza uma ni vyema kutaja sababu zitakazopelekea kutokurudi kwao..!

Huyu hapa....???!!! kwikwikwi

IMG_9927.JPG
 
Ha ha ha mwenyekiti wang wa simba sport club ni mtaalam mno kwenye idara hiyo ndo maana yeboyebo alikuwa anakula kichapo enz ya uongoz wake.simba
 
mwaiposa,
justification:hajaonekana jimboni kufanya mkutano wa hadhara na wananchi hata cku moja tokea achaguliwe.
 
tisa kumi ni hawa hapa: ridhiwani, shibuda, anna makinda, tibaijuka, na halima mdee
 
mnavyotaja watu wa kutokurudi bungeni inatakiwa muangalie wako chama kipi...! na je? daftari la wapiga kula limeshafanyiwa marekebisho...!?siyo mnasema tu halafu vitendo hakuna mi nina wasiwasi TANZANIA inarudi kwenye mfumo wa chama kimoja automaticaly pambaneni daftari liboreshwe...!
 
Nyagwine Tarime,wasirra, Limbu na wengine wengi wa ccm mafisadi.

Hapo kwa limbu umenifurahisha sana,sijawahi ona msomi kilaza asiyejielewa kama huyo mbunge wa Magu.Ikumbukwe kuwa Magu ndiko Nyumbani kwetu lakini cha ajabu kili ukienda likizo unakuta matatizo yaleyale,WanaMagu wanajutta sana kuchagua gamba. Tumejipanga kupiga chini magamba yote katika mkoa wetu wa Mwanza tukianza na Limbu,Ndasa,Mawe3 na mizigo iliyopo Sengerema.
 
mnavyotaja watu wa kutokurudi bungeni inatakiwa muangalie wako chama kipi...! na je? daftari la wapiga kula limeshafanyiwa marekebisho...!?siyo mnasema tu halafu vitendo hakuna mi nina wasiwasi TANZANIA inarudi kwenye mfumo wa chama kimoja automaticaly pambaneni daftari liboreshwe...!

Daftari litaboreshwa tu watake wasitake hawa mainterahamwe
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom