Keen
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 617
- 172
Zitto, Wassira, Lusinde, Makinda, Nchemba, Pinda, Nkono.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Wassira ni jembe, kumbukumbu tu ndo anapoteza!
Zitto, Wassira, Lusinde, Makinda, Nchemba, Pinda, Nkono.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Prof Maji Marefu
Ahaaa!!! Kumbe weye ndiye nke ntarajiwa wa huyu msaliti Zitto!!!wenje. Tundulisu mnyika. Nassary MSIGWA KIWIA. hao wameponzwa na dhambi mmoja tuu ya kuwa sehemu ya maamuzi ya kijuha na propaganda za kijinga zidi ya zitto na ikumbukwe kwamba hao wengi walipa ubunge kupitia jina la chadema na kupitia kupotea kwa umaarufu wa chadema mbele ya wananchi basi hao watapoteza majimbo. WATU WATASHANGAA SANA MAANA 2015 CHADEMA BADALA YA KUONGEZA IDADI YA WABUNGE ITAPUNGUA. WATALIA NA KUSAGA MENO. TENA HAO WAKINA WENJE NDIO WALA WASIFIKIRI KABISA KUHUSU UBUNGE.
wenje.
Tundulisu
mnyika.
Nassary
MSIGWA
KIWIA.
hao wameponzwa na dhambi mmoja tuu ya kuwa sehemu ya maamuzi ya kijuha na propaganda za kijinga zidi ya zitto na ikumbukwe kwamba hao wengi walipa ubunge kupitia jina la chadema na kupitia kupotea kwa umaarufu wa chadema mbele ya wananchi basi hao watapoteza majimbo.
WATU WATASHANGAA SANA MAANA 2015 CHADEMA BADALA YA KUONGEZA IDADI YA WABUNGE ITAPUNGUA.
WATALIA NA KUSAGA MENO.
TENA HAO WAKINA WENJE NDIO WALA WASIFIKIRI KABISA KUHUSU UBUNGE.
Umetudhalilisha wasukuma. Sisi siyo misukule kama wa kule Tanga na Bagamoyo.Hizo Listi mnazozitaja, ni kutokana na maamuzi ya wapiga kura wa maeneo husika au kwa hisia zenu? Siasa hazipo hivyo, kuweni wakweli. Shibuda labda asiamue kugombea, lakini wasukuma lazima wamchague