JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,391
- 9,665
Hahah, Kwani hujui ndo walinzi wake? Ulitaka atembee kama wewe. Vita ya dawa ya kulevya ni nzito kaka. Kama huelewi bora ukatuliza kipago chako.Alienda kuchukua cd yake? Aliipeleka? Kwanini aende na jeshi lilobeba silaha za kivita?