adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 10,952
- 23,095
Moja kwa moja.
Inakera sana unakuta upo kibanda umiza mnaangalia mechi mtu anaanza kushangilia goli kabla ya mpira kuingia wavuni au mtu anahadithia tukio la mbele kabla kutokea wakati mechi inaendelea.
Watu wa namna hii nashinda kuwatafsiri kichwani mwao kupo vipi, natamani niwatandike makofi kabisa. Kama wanapenda kusikiliza mpira redioni bora wangekuwa wanabaki makwao kuliko kuwaharibia ladha ya mpira wenzao.
Inakera sana unakuta upo kibanda umiza mnaangalia mechi mtu anaanza kushangilia goli kabla ya mpira kuingia wavuni au mtu anahadithia tukio la mbele kabla kutokea wakati mechi inaendelea.
Watu wa namna hii nashinda kuwatafsiri kichwani mwao kupo vipi, natamani niwatandike makofi kabisa. Kama wanapenda kusikiliza mpira redioni bora wangekuwa wanabaki makwao kuliko kuwaharibia ladha ya mpira wenzao.