Princemwalejr
JF-Expert Member
- Nov 9, 2017
- 496
- 488
Usiku mwema unakuwa hivi:
Au hivi
Kama ni vibaka kwanini vyumba vya ndani mpaka kwenye magorofa vinatumia matofali. Mwisho wa siku “expansion joints” zinabuma?
Vyumba vya namna hii vina ubaya gani?
Au hivi
Kama ni vibaka kwanini vyumba vya ndani mpaka kwenye magorofa vinatumia matofali. Mwisho wa siku “expansion joints” zinabuma?
Vyumba vya namna hii vina ubaya gani?