Princemwalejr
JF-Expert Member
- Nov 9, 2017
- 496
- 491
- Thread starter
- #41
Wengine hupenda kuambiwa wanavyoamini wao, ukisema tofauti, utasikia sio kweli, unapozungumzia ukuta WA kioo huishiii kuongelea bei yake pekee bali kuna mambo ya energy consumption,na insulation japo Bei ya tofali yenyewe kwa sm ni kama Mara tatu ya bei ya kioo.
Mkuu joto likizidi ukuta wa kioo unaweza kufunguliwa. Fungua ukuta wa tofali sasa tuone. Kuna mijengo ambayo mpaka paa la nyumba linaweza kufunguliwa na kufungwa. Hatuwezi kufika huko tuking’ang’ania ujenzi tulioachiwa na Kinjeketile. Lazima tukubali mabadiliko na tujifunze kwa waliotutangulia.