Wabongo kwanini tunapenda sana matofali?

Princemwalejr

JF-Expert Member
Nov 9, 2017
496
488
Usiku mwema unakuwa hivi:
c475e6cd1f3ac2873c68e52770e169af.jpg


Au hivi

3c2d9c21a4daf1ff5a82deed2f17402d.jpg


Kama ni vibaka kwanini vyumba vya ndani mpaka kwenye magorofa vinatumia matofali. Mwisho wa siku “expansion joints” zinabuma?

Vyumba vya namna hii vina ubaya gani?

363f46f04604c8efd5253ec035b28f7b.jpg
 
Back
Top Bottom