Wabongo kwanini tunapenda sana matofali?

Wabongo kwanini tunapenda sana matofali?

Mleta mada huo ujenzi ni delicate sana kwa waswahili tulio wengi.Nchi zetu hizi mambo hayo ni hatari sana.
Ukikosana na watu wasiopenda ukweli au ukatofautiana na watu unaunguzwa mzima mzima na hizo mbao halafu unamaliziwa na vipande vya vioo , unatangulia kwa muumba.
Pia ujenzi huo ni hatari kwa miti michache tuliyobaki nayo. Jaribu kuwaza pia ujenzi ukiwa huo mazingira yatakuwaje kwa maana ya kukatwa miti na kutupa vioo vilivyovunjika au vilivyoisha muda wake.
 
inabidi ifike wakati tuachane na grills, yaani tusiweke vitu vya maana nyumbani... vitu kama hela, hati etc visikae nyumbani kabisa.. mwizi akija atakutana na tv kama anataka aibe tv
 
Sasa zile nyumba za vijijini mbona hazimalizwi na mchwa. Kwanza kuna nyumba isiyo na mbao Tanzania hasa kwenye dari? Hawa mchwa tunawapa kiki sana.
Inategemea na sehemu na mazingira mkuu, sijasema kwamba huwezi kujenga popote kwa mbao. Nimeasa kuhusu kuiga bila kufuatilia mazingira ya sehemu.

Hii mijengo mingine ya North America/ Europe etc inajengwa kwa kuzingatia hali ya hewa na mambo kama wadudu etc.

Hata hizo nyumba za miti wanaojenga wanajua sehemu gani unaweza kujenga nyumba gani etc, na nyingi wanajenga zinaliwa baada ya muda wanajenga tena etc, ni maisha ambayo washakubali wengine, sasa kwa picha hizi ni kama mtu anajenga permanent structure, kitu tofauti.

Mimi nakwambia hivyo kwa sababu familia yetu ishajenga nyumba ya mbao, miaka ya 80s, mshua wangu alikuwa mtu wa makatalogi muda mrefu aliona hizi habari za kujenga kwa mbao. Mbao zilitaka kupata treatment sana ili kuzuia kuliwa na wadudu.

Kwahiyo si kitu ninachokiandika tu bila uzoefu.
 
Usianzishe ugomvi wa mawe ukiwa unaishi nyumba ya Vioo

Magomeno,mbagala,vingunguti ujenge hivyo ili? Uchunguliwe jiulize GARI IMETEMBEZWA JAPANI WEEEEEE IKIJA BONGO MPAKA UWEKE TINTED mara uwekewe alarms mara wachomeleeee nini sijuw

Hujiulizi kwa nini tu?
 
Viko poa ila sasa ukiwa unakula demu mnakuwa kama mko kwenye Tv
 
Inategemea na sehemu na mazingira mkuu, sijasema kwamba huwezi kujenga popote kwa mbao. Nimeasa kuhusu kuiga bila kufuatilia mazingira ya sehemu.

Hii mijengo mingine ya North America/ Europe etc inajengwa kwa kuzingatia hali ya hewa na mambo kama wadudu etc.

Hata hizo nyumba za miti wanaojenga wanajua sehemu gani unaweza kujenga nyumba gani etc, na nyingi wanajenga zinaliwa baada ya muda wanajenga tena etc, ni maisha ambayo washakubali wengine, sasa kwa picha hizi ni kama mtu anajenga permanent structure, kitu tofauti.

Mimi nakwambia hivyo kwa sababu familia yetu ishajenga nyumba ya mbao, miaka ya 80s, mshua wangu alikuwa mtu wa makatalogi muda mrefu aliona hizi habari za kujenga kwa mbao. Mbao zilitaka kupata treatment sana ili kuzuia kuliwa na wadudu.

Kwahiyo si kitu ninachokiandika tu bila uzoefu.
Si kuna dawa ya kuangamiza kabisa hao wadudu kama mchwa?
 
Usiku mwema unakuwa hivi:
c475e6cd1f3ac2873c68e52770e169af.jpg


Au hivi

3c2d9c21a4daf1ff5a82deed2f17402d.jpg


Kama ni vibaka kwanini vyumba vya ndani mpaka kwenye magorofa vinatumia matofali. Mwisho wa siku “expansion joints” zinabuma?

Vyumba vya namna hii vina ubaya gani?

363f46f04604c8efd5253ec035b28f7b.jpg
hapo mkikwichikwichi kila mtu anawaona!
 
Si kuna dawa ya kuangamiza kabisa hao wadudu kama mchwa?
Ni constant struggle, mchwa ni kamambu, kama sehemuinamchwa utawaua kwa muda fulani halafu baada ya muda watarudi.

Ukipata sehemuambayohaina wadudu na hali ya hewa inaruhusu unaweza.

Kuna tatizo la mentality pia, kwamba, kujenga kwambao nyumba haitadumu kama kujenga kwa amatofali.

Einstein alivyokuja Marekani alisifu sana jinsi wanavyojenga sana kwa mbao, majengo yako flexible,ukitaka kuvunja ukuta hapa ubadilishe vile ni rahisi. Inaonekana hata Ulaya (at least by then) hakukuwa na flexibility hiyo.

Pia, sina hakika kama ukitaka kujenga kwa mbao nzuri na imara kabisa kama gharama, hususan ukiweka gharama za treatment over time, zitakuwa nafuu kuliko matofali.
 
Wengine hupenda kuambiwa wanavyoamini wao, ukisema tofauti, utasikia sio kweli, unapozungumzia ukuta WA kioo huishiii kuongelea bei yake pekee bali kuna mambo ya energy consumption,na insulation japo Bei ya tofali yenyewe kwa sm ni kama Mara tatu ya bei ya kioo.
 
Sio kweli Kaka, walikuuzia vya saloon basi, hivyo vioo, kuanzia unene ni tofauti pia huwa vima proofing materials Kama za joto,sauti na wakati mwingine hadi bullet proof wanainstall humo.
 
Back
Top Bottom