Masokotz
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,600
- 5,785
Kwanza nianze kwa kusema kwamb mimi ni msahuri mwelekezi wa Kibiasha kwa wajasiriamali wadogo na wakati hasa wanaofanya biashara zneye Mtaji au annual turnover ya kati yz TZS 10,000 hadi TZS Milion 500.
Nimebahatika kufanya kazi na wajasiriamali wengi na nikagundua kwamba Wajasiriamali wengi wanakwama na kushindwa katika biashara kwa sababu ya kutokufahamu nafasi na jinsi ya kuwatumia Business Consultant.Wengi huamini katika hadithi za kusimuliwa,uzoefu na stori za hapa na pal.Hali hupelekea wengi wao kufanya makosa yale yale yanayopelekea biashara zao kutokukua.
Mshauri katika biashara yoyote ana nafasi kubwa ka mentor,critic na motivator,Mentor anakupa mwongozo,Critic anakufanya ufikiri zaidi na motivator anakutia moyo.Unapofanya biashara yeyote ni lazima uwe na watu wote watatu au ue na mmoja anayefanya kazi zote tatu.Huyu anaitwa Consultant.
Kzi ya consultant ni kufikiri badala yako,kupanga badala yako,kutafuta taarifa badala yako.Nimekutana na watu wengi sana ambao hawataki habari za ushauri na wengine wanatka kupewa ushauri wa bure bila kulipia.Kitu wasichojua ni kwamba sisi tumewekeza rasilimali katika kutafuta taarifa na maarifa pamoja na kujenga mtandao.Wanataka tu msaada lakini ukiwaonjesha kidogo kisha ukataka wakulipe wanachukizwa
Vile vile wengine wanakuwa na kasumba ya kujifanyia mambo kienyeji jambo ambalo nalo linashangaza sana hasa ukizingatia wengine ni wasomi wakuwa kabisa.
Niwaombe wajasiriamali wote wadogo na wakubwa,usiogope kutumia gharama ili kupata taarifa na maarifa sahihi.
Nimebahatika kufanya kazi na wajasiriamali wengi na nikagundua kwamba Wajasiriamali wengi wanakwama na kushindwa katika biashara kwa sababu ya kutokufahamu nafasi na jinsi ya kuwatumia Business Consultant.Wengi huamini katika hadithi za kusimuliwa,uzoefu na stori za hapa na pal.Hali hupelekea wengi wao kufanya makosa yale yale yanayopelekea biashara zao kutokukua.
Mshauri katika biashara yoyote ana nafasi kubwa ka mentor,critic na motivator,Mentor anakupa mwongozo,Critic anakufanya ufikiri zaidi na motivator anakutia moyo.Unapofanya biashara yeyote ni lazima uwe na watu wote watatu au ue na mmoja anayefanya kazi zote tatu.Huyu anaitwa Consultant.
Kzi ya consultant ni kufikiri badala yako,kupanga badala yako,kutafuta taarifa badala yako.Nimekutana na watu wengi sana ambao hawataki habari za ushauri na wengine wanatka kupewa ushauri wa bure bila kulipia.Kitu wasichojua ni kwamba sisi tumewekeza rasilimali katika kutafuta taarifa na maarifa pamoja na kujenga mtandao.Wanataka tu msaada lakini ukiwaonjesha kidogo kisha ukataka wakulipe wanachukizwa
Vile vile wengine wanakuwa na kasumba ya kujifanyia mambo kienyeji jambo ambalo nalo linashangaza sana hasa ukizingatia wengine ni wasomi wakuwa kabisa.
Niwaombe wajasiriamali wote wadogo na wakubwa,usiogope kutumia gharama ili kupata taarifa na maarifa sahihi.