Wabongo acheni kukariri maisha

Wabongo acheni kukariri maisha

Mimi naishi na mwanamke ambae HATUJAFUNGA NDOA, ila Sasa cha kushangaza ni watu huko kanisani mwanamke anapoenda kutwa kumshauri eti tufunge ndoa, majirani wale wenye ndoa kutwa kumshauri shauri tuu, Mimi naishiaga kuwaambia tuu NDOA SIFUNGI

ni kama ishu ya kipaimara/kubarikiwa Mimi tokea Niko darasa la saba nilishakimbia hayo mambo, na Leo hii wale waliobarikiwa 90% nnaowajua ni wavuta bangi,walevi na wamechoka mbaya (kipindi tukiwa shule ya secondary walinitabiria Mimi eti nitakua na maisha magumu kwakua sijabarikiwa/sijapata kipaimara, lakini kwasasa wao wamechoka sana Mimi Niko vzuri.

Hawa wanaonishauri Mimi nifunge ndoa unakuta mtu ana miezi SITA kwenye ndoa, wengine ndoa zimevinjika zimewashinda Mimi watanishauri Nini???

Nyie mnaoenda kanisani mnajiona sana Yani mnaona kama yesu sijui ni mjomba wenu au ndio mnamjua mungu sana! ACHENI KUKARIRI MAISHA

Mambo ya kufunga ndoa Kwa Sasa minaona kama ni JANJA JANJA TUU, kama nataka kuishi na mwanamke naishi nae sio lazima ndoa.

Eti utakuta mtu kwakua alikua haendi kanisani huko KKKT siku anataka kufunga ndoa mchungaji anamkataa anasema hamtambui kwakua sio mshirika! Halafu utakuta mtu anapaniki kabisa Kwa kukataliwa kufungishwa ndoa kanisani unapaniki Nini wewe ACHENI upumbavu

Hii kampeni ya kataa ndoa inakuja kwa Kasi Sana. Ila bado ndoa itasimama.
 
Kubali mawili. Uwe mwanamke,uendelee kwenda. Au uwe mwanaume,simamia unachokiamini.
Unapiga sound ili usiende? Hujiamini! Iko hivi. Kwenda huendi,ila akitaka aende. Akiona hawezi kuishi na wewe,aende. Yupo ambaye nae haendi.
Mkuu yan sitaki nimtoe yeye kwenye beliefs zake moja kwa moja so nlivyosema napiga saund ni namna naongea nae asijisikie vibaya yeye kwenda na asione mimi nimekosea kubaki and it works ,
 
Mimi naishi na mwanamke ambae HATUJAFUNGA NDOA, ila Sasa cha kushangaza ni watu huko kanisani mwanamke anapoenda kutwa kumshauri eti tufunge ndoa, majirani wale wenye ndoa kutwa kumshauri shauri tuu, Mimi naishiaga kuwaambia tuu NDOA SIFUNGI

ni kama ishu ya kipaimara/kubarikiwa Mimi tokea Niko darasa la saba nilishakimbia hayo mambo, na Leo hii wale waliobarikiwa 90% nnaowajua ni wavuta bangi,walevi na wamechoka mbaya (kipindi tukiwa shule ya secondary walinitabiria Mimi eti nitakua na maisha magumu kwakua sijabarikiwa/sijapata kipaimara, lakini kwasasa wao wamechoka sana Mimi Niko vzuri.

Hawa wanaonishauri Mimi nifunge ndoa unakuta mtu ana miezi SITA kwenye ndoa, wengine ndoa zimevinjika zimewashinda Mimi watanishauri Nini???

Nyie mnaoenda kanisani mnajiona sana Yani mnaona kama yesu sijui ni mjomba wenu au ndio mnamjua mungu sana! ACHENI KUKARIRI MAISHA

Mambo ya kufunga ndoa Kwa Sasa minaona kama ni JANJA JANJA TUU, kama nataka kuishi na mwanamke naishi nae sio lazima ndoa.

Eti utakuta mtu kwakua alikua haendi kanisani huko KKKT siku anataka kufunga ndoa mchungaji anamkataa anasema hamtambui kwakua sio mshirika! Halafu utakuta mtu anapaniki kabisa Kwa kukataliwa kufungishwa ndoa kanisani unapaniki Nini wewe ACHENI upumbavu
Funga ndoa brother ili wamuunge rasmi kwenye VIKOBA. ..
 
Unaweza ukajiona uko sahihi kumbe hauko sasa naanza kukuonyesha namna gani hauko sahihi:-

1. Kila jambo lina utaratibu, na utaratibu ndio unaotengeneza ustaarabu, kanisa lina utaratibu kwamba mwanamke na mwanaume hawawezi ishi pamoja bila kufunga ndoa, kwa hiyo wewe uko nje ya utaratibu, kwa sababu mke wako anasali kanisani na ndiko wanakomwambia akuhimize mfunge ndoa maana ndio utaratibu wa kanisa.

2. Kufunga ndoa hakuna maana kwamba ndani ya ndoa hakutakuwa na migogoro au kupishana kauli huko uwe umefunga au haujafunga lazima mtapishana kauli na kukwaruzana tu.

3. Ili mtazamo na msimamo wako uwe sawa mwambie mkeo asiende kanisani ili wote msisali na kwa hapo hakuna imani itakayokuwa inawaongoza zaidi yenu wenyewe.

4. Kubatizwa, kupata kipaimara hakuna maana kwamba ndio umekuwa mtakatifu na mbinguni utaenda la hasha, ni takwa la kiimani kulingana na utaratibu wa kanisa na bibilia na Yesu anasema lolote lililokubalika duniani na mbinguni limeekubalika, kama una mpango wa kwenda mbinguni basi kubatizwa ni lazima lakini kama hauna mpango sio lazima
 
Mimi naishi na mwanamke ambae HATUJAFUNGA NDOA, ila Sasa cha kushangaza ni watu huko kanisani mwanamke anapoenda kutwa kumshauri eti tufunge ndoa, majirani wale wenye ndoa kutwa kumshauri shauri tuu, Mimi naishiaga kuwaambia tuu NDOA SIFUNGI

ni kama ishu ya kipaimara/kubarikiwa Mimi tokea Niko darasa la saba nilishakimbia hayo mambo, na Leo hii wale waliobarikiwa 90% nnaowajua ni wavuta bangi,walevi na wamechoka mbaya (kipindi tukiwa shule ya secondary walinitabiria Mimi eti nitakua na maisha magumu kwakua sijabarikiwa/sijapata kipaimara, lakini kwasasa wao wamechoka sana Mimi Niko vzuri.

Hawa wanaonishauri Mimi nifunge ndoa unakuta mtu ana miezi SITA kwenye ndoa, wengine ndoa zimevinjika zimewashinda Mimi watanishauri Nini???

Nyie mnaoenda kanisani mnajiona sana Yani mnaona kama yesu sijui ni mjomba wenu au ndio mnamjua mungu sana! ACHENI KUKARIRI MAISHA

Mambo ya kufunga ndoa Kwa Sasa minaona kama ni JANJA JANJA TUU, kama nataka kuishi na mwanamke naishi nae sio lazima ndoa.

Eti utakuta mtu kwakua alikua haendi kanisani huko KKKT siku anataka kufunga ndoa mchungaji anamkataa anasema hamtambui kwakua sio mshirika! Halafu utakuta mtu anapaniki kabisa Kwa kukataliwa kufungishwa ndoa kanisani unapaniki Nini wewe ACHENI upumbavu
Ishu Ni kupanick siyo kingine

Ila Kam ujaata kipaimara una tatizo kubwa Ni vyema uanze mafundissho haraka sna jitu Zima Kama wee ujui liturugia Wal upo upo tu ,unadhani hvyo pesa zako zitakusaidi nn ,

Alfu kingine kipimo Cha kufanikiwa wee unakipimaje ?usije kuta umenunua bufa alfu unaazna kuwasema wenzio eti hawana mafanikio

Wee Ni mjinga na hyo ndoa yako haifungwi Hadi ubatizweee na kupokkeaa kipaimaraa
 
Msimamo wako upo sawa. Tatizo mmeenda kusali kwenye kanisa ambalo lina taratibu zake. Kufunga ndoa ni sehemu ya utaratibu huo.

Mngejikalia zenu nyumbani msihangaike kwenda kanisani sidhani kama mngepata kero yoyote.
Achaneni na makanisa au fungua kanisa lako la wasiofunga ndoa.
Sswaaa kbsaa ushauri murua huu
 
Ishu Ni kupanick siyo kingine

Ila Kam ujaata kipaimara una tatizo kubwa Ni vyema uanze mafundissho haraka sna jitu Zima Kama wee ujui liturugia Wal upo upo tu ,unadhani hvyo pesa zako zitakusaidi nn ,

Alfu kingine kipimo Cha kufanikiwa wee unakipimaje ?usije kuta umenunua bufa alfu unaazna kuwasema wenzio eti hawana mafanikio

Wee Ni mjinga na hyo ndoa yako haifungwi Hadi ubatizweee na kupokkeaa kipaimaraa
Aliekwambia Mimi nataka kufunga ndoa ni nani??? SIFUNGI NDOA!
Halafu Sasa wale waumini vichwa maji niliokua nawasemea ndio nyie mshaanza kuja wenyewe, eti mtu mzima sijabarikiwa, hizo dini mlizoletewa na wazungu zimefanya mmekuwa wapumbavu sana Yani hamjielewi
 
Unaweza ukajiona uko sahihi kumbe hauko sasa naanza kukuonyesha namna gani hauko sahihi:-

1. Kila jambo lina utaratibu, na utaratibu ndio unaotengeneza ustaarabu, kanisa lina utaratibu kwamba mwanamke na mwanaume hawawezi ishi pamoja bila kufunga ndoa, kwa hiyo wewe uko nje ya utaratibu, kwa sababu mke wako anasali kanisani na ndiko wanakomwambia akuhimize mfunge ndoa maana ndio utaratibu wa kanisa.

2. Kufunga ndoa hakuna maana kwamba ndani ya ndoa hakutakuwa na migogoro au kupishana kauli huko uwe umefunga au haujafunga lazima mtapishana kauli na kukwaruzana tu.

3. Ili mtazamo na msimamo wako uwe sawa mwambie mkeo asiende kanisani ili wote msisali na kwa hapo hakuna imani itakayokuwa inawaongoza zaidi yenu wenyewe.

4. Kubatizwa, kupata kipaimara hakuna maana kwamba ndio umekuwa mtakatifu na mbinguni utaenda la hasha, ni takwa la kiimani kulingana na utaratibu wa kanisa na bibilia na Yesu anasema lolote lililokubalika duniani na mbinguni limeekubalika, kama una mpango wa kwenda mbinguni basi kubatizwa ni lazima lakini kama hauna mpango sio lazima

Najibu kutokana na namba zako

1. Unasema siwezi kukaa na mwanamke bila kuoa kutokana na utaratibu WA kabisa, MIMI NISHASEMA NDOA SIFUNGI! Mnanilazimisha??

2.migogoro ndio upo sijasema kua hakuna ukifunga ndoa, hat usipofunga migogoro ipo! Lakini NDOA SIFUNGI

3. Mke yeye ni uamuzi wake, akitaka aende asipotaka asiendehiyo simkatazi, Mimi naamini Mungu yupo na ndie nnaemtwgemea lakini KANISANI SIENDI

4. Sibatizwi, wewe mababu zako kabla ya ujio wa hizo dini walibatizwa vipi? ACHENI kua watumwa WA Imani huo ni upumbavu
 
Ishu Ni kupanick siyo kingine

Ila Kam ujaata kipaimara una tatizo kubwa Ni vyema uanze mafundissho haraka sna jitu Zima Kama wee ujui liturugia Wal upo upo tu ,unadhani hvyo pesa zako zitakusaidi nn ,

Alfu kingine kipimo Cha kufanikiwa wee unakipimaje ?usije kuta umenunua bufa alfu unaazna kuwasema wenzio eti hawana mafanikio

Wee Ni mjinga na hyo ndoa yako haifungwi Hadi ubatizweee na kupokkeaa kipaimaraa
Hivi, wewe labda,kubatizwa na hicho kinagaubaga chako,vimekusaidia nini maishani!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom