FairPlayer
JF-Expert Member
- Feb 27, 2006
- 4,145
- 716
Vipi kundi la nne ambalo hamjalijadili, la wala vumbi wanaenda nje kupumzika na kujionea dunia nyingine?.
Home ni home hata kama ni shambani au pangoni, ukiwa home popote unapoenda unapata heshima yako. Majuu hata ukiwa na pesa na kama hujulikani ukienda viwanja vya juu bado hupati heshima au kuthaminiwa kama mtu mweupe.
Wabeba mabox wapo na wala vumbi wapo na waliobeba mabox na sasa wanakula mavumbi pia wapo, pia kuna wala mavumbi wanaokwenda kuwatazama wabeba mabox kila mara.
Swala la exposure ni suala la hela tu. Kama umepitia elimu ya kizungu na kupata vi senti exposure inakuja tu....una jipeleka mwenyewe mamtoni kutembea.
Sidhani kama ni chuki kama mnavyoi brand hapa, nadhani ni ukweli kuwa walio majuu wanafikiri waliopo TZ hawaelewi kitu wala hawana exposure. Sasa tatizo inakuja pale unaeongea naye juzi juzi tu alikuwepo huko kupumzika. Ndipo dharau inaanza.
Ila ukibeba mabox vizuri na ukiwa na chenji na ukatuliza boli hakuna dharau utakayokutana nayo
Home ni home hata kama ni shambani au pangoni, ukiwa home popote unapoenda unapata heshima yako. Majuu hata ukiwa na pesa na kama hujulikani ukienda viwanja vya juu bado hupati heshima au kuthaminiwa kama mtu mweupe.
Wabeba mabox wapo na wala vumbi wapo na waliobeba mabox na sasa wanakula mavumbi pia wapo, pia kuna wala mavumbi wanaokwenda kuwatazama wabeba mabox kila mara.
Swala la exposure ni suala la hela tu. Kama umepitia elimu ya kizungu na kupata vi senti exposure inakuja tu....una jipeleka mwenyewe mamtoni kutembea.
Sidhani kama ni chuki kama mnavyoi brand hapa, nadhani ni ukweli kuwa walio majuu wanafikiri waliopo TZ hawaelewi kitu wala hawana exposure. Sasa tatizo inakuja pale unaeongea naye juzi juzi tu alikuwepo huko kupumzika. Ndipo dharau inaanza.
Ila ukibeba mabox vizuri na ukiwa na chenji na ukatuliza boli hakuna dharau utakayokutana nayo