Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,217
- 3,123
wekezeni makwenu bana!taifa linajengwa na vijana,wataalamu wa nyanja mbali mbali!sio unaenda kusoma ki mastaz chako ukimaliza unaamua kubaki hukohuko UBEBE BOKSI,kisa bongo kuna njaa!.........
Mojawapo ya tatizo kubwa linalowakabili waTz ni kushindwa kuelewa wanachosema wengine na matokeo yake mijadala mingi inapoteza mwelekeo na kubakia ushabiki na vuta nikuvute ya watoto wa chekechea.