Benny
JF-Expert Member
- Jun 6, 2014
- 3,275
- 5,414
Ngoja aone simu yangu ataisoma nambaAcha ale vumbi tu maana hakuna namna nyingine
Ngoja aone simu yangu ataisoma nambaAcha ale vumbi tu maana hakuna namna nyingine
Uk ku-over stay ni kosa! Nenda site ya UK border agency kacheki! Sijui kwingine!Sio kweli. Uki over stay ni kosa lakini ukiamua kurudi kwenu unarudi tu bila shida. Kitakachokufanya usirudi kwenu labda ni kukosa nauli ila sio kwa kuogopa kosa la kuishi kinyume na sheria, hata ukiondoka watakachofanya ni kukupiga ban tu muda kadhaa
Umesimuliwa au?! Ukiamua kuondoka mwenyewe hata uki overstay miaka 100 ndio kwanza wanashukuru maanake umewaokolea hela ya wao kuku-deport! Kwa kifupi uki overstay unaweza kuondoka muda wowote hamna mtu atapoteza taxpayers money kumshtaki mtu alieamua kuondoka. Na hata wakikukamata barabarani wanakurudisha,kukushitaki na kukufunga ni gharama kuliko kukurudisha.Uk ku-over stay ni kosa! Nenda site ya UK border agency kacheki! Sijui kwingine!
Watakupa grace period ya muda fulani, ila kuna baada ya miezi fulani kama sik wiki kadhaa ni kosa, kubwa tu la kinyume na uhamiaji. Kuna watu wamekwama sababu wako kwenye dilemma, utafunguliwa kesi na ukimaliza kesi unarudishw kwenu na ban unakula. Kwa obama na kwengine sijui kama ni kosa au la!
Bongo kila mtu anakula bata,mambo yake safi. Hasa wabongo wa JF wote wako vizuri....🙂🙂Na wanaobaki bongo maisha yamewashinda unawaweka kwenye kundi gani?
Hapana ni uzi fulani ambao mara nyingi unaanzishwa na vitoto vilivyopata ajira na kuanza kulipwa 1-2m anaona kamaliza!Naona huu uzi umewagusa wengi....kumbe wengi wabeba box huku
Wewe hebu achana na habari za vijiweniUk ku-over stay ni kosa! Nenda site ya UK border agency kacheki! Sijui kwingine!
Watakupa grace period ya muda fulani, ila kuna baada ya miezi fulani kama sik wiki kadhaa ni kosa, kubwa tu la kinyume na uhamiaji. Kuna watu wamekwama sababu wako kwenye dilemma, utafunguliwa kesi na ukimaliza kesi unarudishw kwenu na ban unakula. Kwa obama na kwengine sijui kama ni kosa au la!
Na kubaki bongo kuna matatuKwenda mbele kuna matatu" either urudishwe bongo umekufilia mbali" urudi kapuku na kuanza Moja...au urudi umewini hyo inatokea wachache"
Na wengne wanarudi na Mawazo tuu tuu kama le degree3 bwana Lemutuzz Big Man..
Kwaio tujifunze kitu" maisha kila sehem ni taff hakuna miteremko"Na kubaki bongo kuna matatu
1.ufulie ukose hata hela ya sabuni
2.uajiriwe ugange njaa maisha yako yote ambao ndio wengi wanaangukia hapa wakiwemo wengi wanaochangia hii thread
3.u-win na inatokea kwa wachache sana tena saaaaana.
Obvious.Kwaio tujifunze kitu" maisha kila sehem ni taff hakuna miteremko"
Wakiwa huko mbelez we roho inakuuma sana eeh???
Pilipili iko shamba wewe inakuwashia nini?
Wala vumbi mna shida sanaaaaaa
Haisadii,Kigoma ni Tanzania na kwenye kubeba box si Tanzania,kama na wewe ni mmoja wa wabeba box na baado unahesabu miaka rudi uje uanze kilimo cha bamia,kinalipa kuliko kuogesha vibabuHata baba yako aliondoka kwenu kijijini kigoma kuja mjini dar kutafuta riziki. wengi walimwonea wivu huko kigoma siku ile anapanda treni kuja dar es salaam.
Kazi ya ukuli majuuHivi "Kubeba Box" ndo kufanyaje...? Huu msamiati umenipit kidoogo......!
Sio sawa, hujapatia. Kubeba box ni kufanya kazi zisizo professional ukiwa nchi za watu mfano kudeliver pittza, kusambaza adverts kwenye letterboxes, lakini zile professional km aged care, nursing home errands, security sio kubeba boxKazi ya ukuli majuu