barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,804
Third world na first world??? Hujajua wanavyoishi huko wengi wao ndo maana wasema hivi. In fact, huku ndo first world na kule third world kwao, sio wote ila wengi.Hizi mada za wabeba mabox na wala vumbi zishapitwa na wakati.. Ndo maana watu wamechuna, maisha ni popote tu ukitusua bongo pouwa tu na usipotusua ulaya pouwa tu ila tofauti ni kua mmoja anaishi third world na mwingine first world hio ndio tafauti...