Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,417
- 79,667
Mimi nimemuheshimu baba yangu hadi siku anafariki nimeshakuwa mtu mzima, sijawahi kumtenga au kumuona hana thamani. Baba na mama yangu wote wana thamani sawa.
Ukiona baba hathaminiwi basi tambua kuwa hakusimama vzr kwenye nafasi yake kimajukumu au ni mnyanyasaji kwa mke wake na watoto wameshuhudia.