vitu viwili ikubwaKumekua na malalamiko mengi kwenye jamii za kitanzania na kiafrika kwa ujumla mara watoto wanapokua na kuanza kujitegemea na umri wa wazazi kusogea, wototo huwa wanakua karibu na mama zao zaidi ya baba zao.
😁 Ahsante kwa kulijua hili.Mimi niwaombe wababa wabebe nafasi zao kwenye kutusimamia sisi wanafamilia, tena wawe wakali kidogo hapa kama mama wa taifa alivyokua mkali kwa chalamila alipoona anaharibu familia ya mwanza
Mkisema mtuachie wamama tufanye tutakavyo tutaharibu tuu...... hata Mungu anajua ndio maana aliwapa nyie mamlaka ya kuwa kichwa ili mtoe malekezo ya wapi tunaelekea kwetu
Mm ninae best yangu 68 yrs ni male anae watoto 6 wa mwisho ndio nalingana nae mm
But anaweza kaa hata 10months hakuna mtoto wake anaempigia simu wala kumuuliza chochote na yy tupo nae hapa kijijini wala hawazi
Anaishia tu kulalamika kuwa watoto hawamjali wala nn wakimtumia pesa mingi sana ni 15k na hata wakija home anaambulia kupewa chupa ya konyag kubwa tu
Watoto wa kuiume jua mnayowafanyia baba zenu sasa hiv,ndio mtakayofanyiwa na nyie mtakapozeeka
What goes around comes around
Mtoto ana natural bond na mama hata uwe how niceUnaousema n ukwel mkuu
Ila wababa tuache kulea watoto kikauzu badala yake tubadirike hasa wakat huu ambao ulimwengu unaenda kasi unalea mtoto kwa mifumo ya miaka 1980 wakat dunia inehama huko
Mtoto anakupigia simu anataka kujua nyumban mnaendeleaje wewe unajibu kifupi na hauoneshi kufurah kuwa mtoto kakupigia
Ila ukimpigia mama anaonesha furaha anakueleza mambo muhimu kuhusu nyumban
Unategemea mtoto atampenda au atampigia Nani simu kila wakat pale anapohtaj kujua Jambo fulani
.....wazazi hasa wakiume tubadilike....
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Waache waone raha ila wakizeeka inakuja pale pale kichapo tuMm ninae best yangu 68 yrs ni male anae watoto 6 wa mwisho ndio nalingana nae mm
But anaweza kaa hata 10months hakuna mtoto wake anaempigia simu wala kumuuliza chochote na yy tupo nae hapa kijijini wala hawazi
Anaishia tu kulalamika kuwa watoto hawamjali wala nn wakimtumia pesa mingi sana ni 15k na hata wakija home anaambulia kupewa chupa ya konyag kubwa tu
Watoto wa kuiume jua mnayowafanyia baba zenu sasa hiv,ndio mtakayofanyiwa na nyie mtakapozeeka
What goes around comes around
Hio bond ya watoto na mama ndio inayoleta upendeleo baba anakuwa disadavantaged! Japo kuna wazee wana bond na watoto sana kuliko hata akina mama zao!Natural bond ya mama na mtoto haiwezi kumuumiza baba
Kinachoumiza ni baba kutengwa katika uzee wake
Hahahhahahaha mzee anakuwa amejitaftia balaaNafikiri kuna thread yangu niliileta humu wababa wengi wanasababisha haya wao wenywewe,nina mifano iliyo hai kabisa baba anahudumia nyumba ndogo au michepuko zsidi kuliko familia mpaka watoto wapo vyuo ,wanajitambua mzee haoni km ni shida ,anaehangaika zsidi na watoto ni mama ,mzee akustaafu robo tatu ya hela anatumia na michepuko huku familia inaona na inapata shida then watoto wskipata kazi baba anakuwa na lawama kibao
Unfortunately hii inatoke solely kwa African Fathers
Ni kosa entirely kwa African Fathers as a group,kuna pahali turekebishe!
Dictatorship does not work,more love and understanding works better