mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,760
- 35,205
- Thread starter
- #41
Wazazi wanaohisi kutengwa na watoto wao wa kuwazaa, si kwamba inatokea bahati mbaya HAPANA. Ukifuatilia kwa karibu historia ya kizazi chao utagundua kwamba na hawa wanaolalamika waliwaacha wazee/wazazi wao kama wao walivyoachwa.hivyo ule mnyororo bado unaendelea kwenye kizazi kingine.
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Umeongea ukweli Banjuka, lakini sasa huoni kama baba yako alimtenga mzee wake. Na wewe ukamtenga yeye unaacha nafasi ya mtoto wako kutengwa na watoto wake?
Tuvunje hii chain ya laana kwa kusambaza upendo basi