Patra31
JF-Expert Member
- Apr 24, 2020
- 6,750
- 13,397
Tatizo sio kubeba nafasi zetu. Wamama wanajua ku manipulate akili za watoto sana akipata ata kaupenyo kidogo jua umepigwaMimi niwaombe wababa wabebe nafasi zao kwenye kutusimamia sisi wanafamilia, tena wawe wakali kidogo hapa kama mama wa taifa alivyokua mkali kwa chalamila alipoona anaharibu familia ya mwanza
Mkisema mtuachie wamama tufanye tutakavyo tutaharibu tuu...... hata Mungu anajua ndio maana aliwapa nyie mamlaka ya kuwa kichwa ili mtoe malekezo ya wapi tunaelekea kwetu