NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,853
Naona kwa sasa ile hali ya wateja wa dawa za kulevya imeanza kurudi kwa kasi, kukutana na mteja sugu yupo sehemu anaskilizia stimu ni kawaida.
kile kipindi Magu alipofariki baada ya mwezi hivi kuna boti kubwa sana ya madawa ilikamatwa ile wiki ambayo kulitabiriwa kuwepo kimbunga huko Mtwara.
vijana wadogo nao wapo ambao wameanza kuchezea pesa mithiri ya pesa za kuokota.
Je, pana uhusiano?
kile kipindi Magu alipofariki baada ya mwezi hivi kuna boti kubwa sana ya madawa ilikamatwa ile wiki ambayo kulitabiriwa kuwepo kimbunga huko Mtwara.
vijana wadogo nao wapo ambao wameanza kuchezea pesa mithiri ya pesa za kuokota.
Je, pana uhusiano?