Waarabu wana nguvu Iringa

From Topthinker to bottomthinker
 
We kilaza Una siku 5 tu iringa, then umemwona mtu anamsifia mwarabu flani unageneralize watu wa iringa wapo hivyo. Au ulitaka huyo akushangae wewe kapuku? Waulize wenaoijua iringa watakwabia matajiri wa iringa (wakinga, wabena na Wahehe) ni akina nani. Iq yako ndogo
 
Siku zote mji uliko kaliwa na waarabu au waburushi wenyeji wanakuwa hawana maendeleo
 

Omba msamaha,kwa kutukosea adabu,itabidi wale wachaga wote waliohamia Iringa nao tuwafukuze,isitoshe na wewe unamatatizo mbona wapo matajiri wa kila aina pale hata hapo mjini,sio waarabu tu uliowaona,fanya utafiti kote ujue nani ni tajiri katika sekta ipi,huyo uliyemtaja nafikiri ni usafirishaji,wenyeji wengi wamewekeza katika kilimo na wanafanya vizuri sana,kuna jamaa anashamba linaitwa MAWAMBALA huyu ni mweusi shughuli iliyopo pale ni balaa,na wengine pia wapo kwenye sekta ya chai na wapo wachaga ni balaa kwa kilimo na ufugaji.

Kila sehemu ya Tanzania ina utamaduni,mila na destuli zake wahehe hawakuwa na destuli kama za wachaga kuwafukuza watanzania wenzao, wao waliwakaribisha na kushirikiana nao,ila uongozi uko chini yao,usitegemee wewe ukawe mbunge pale Iringa mjini au Iringa vijijini haikubaliki hata kidogo,Mkwawa aliwaambia nchi ya uhehe itatawaliwa na Muhehe.
 
u must be a top thinker from the bottom

Na mimi niliwaza hivyo kwa kweli ni bottomthinker, yaani amefika hapo kikazi kwa allowance za serikali halafu anatukana wenyeji.

Big up Rose kwa kumpasha huyu mfinyu wa mawazo.

Mimi nawaheshimu sana Wahehe na wenyeji wengine kwa msimamo wao madhubuti. Hao Waarabu ni sehemu tu ya mfumo wa maisha na wamechanganya damu miaka mingi sana, au kosa lao ni kuwa light skinned? Wanafanya biashara, kulima na kupanda miti kwa bidii sana. Na kama isingekuwa zile sera za mzee Kifimbo na issue ya Mwamwindi (si mwarabu) basi hii leo wangekuwa mbali sana.

Labda wewe ni Mchaga na unashabikia mchanganyo na wazungu ndiyo unaona wa thamani
 
Top thinker anaeamini kwenye kufuga majini na kuwa kufuga majini kunasababisha mji kuwa maskini!

Kweli penye wajinga werevu hujitenga!

Sadaktaaa Gaijin. Karume alisema tumesoma hatukutambua, tumejifunza tumejua.

Sasa huyu amesoma lakini bado mjinga eti wa kuamini majini leo hii. Si ajabu design ya aina hii hupenda sana kukimbilia kwa waganga wa kienyeji na mizimu ili wapate mafanikio badala ya kufanya kazi kwa bidii.
 

Matajiri wahehe mfano?
 
ivi ni kwa nini mnawasakama sana hawa waarab mbona sijawahi kuskia mnawasakama wazungu wanataka tufirane au wewe unajiita topthinker ni mmoja wao? Naam nimeamini hapa anaelengwa ni mwislam.ila ipo siku tutagawana mbao ya ili jahazi n
 


Kwa nini mnakuwa wakali sana na mleta mada'kama mnaona hafai kama wengi mlivyosema naona ni uonevu'mimi nimekaa iringa na kwa ujumla maisha ya iringa ni magumu ukilinganisha na majirani zao wa mbeya'bora mjibu hoja kuliko kutoa povu'kama huyu mleta mada sio topthinker kama mnavyodai inawezekana akawa afadhali kuliko nyie kwa sababu mnashindwa kujizuia'lakini waswahili walisema ukweli unauma!
 
Matajiri wahehe mfano?

MTANDI mwenye embalasasa motel na kampuni yaukandarac, KAUNDAMA mwenye kalenga motel na maduka yajumla jumla pamoja na magari makubwa yausafirishaji, LUVINGA mwenye m.r hotels, MKWAWA mwenye hillpot hotels, NYAGAWA mwenye mabus ya upendo na budget, MFUGALE mwenye kituo cha radio ebony fm na hotel kubwa pale dar mitaa ya posta inaitwa pcock hotel, hao niwachache 2 kwa harakaharaka.
 
ndo maana hata mbunge wao ni mkinga, hawa jamaa walikuwa wanawadharau wakinga miaka ya nyuma lakini siku hizi wamegeuka ndo walinzi wa maduka ya wakinga. Wanajiita TULIVAGAYASIDA maana yake hawana shida.
Matajiri wote wa kihehe kama Chalamila,Masasi,Ngole na nk.
Hawapo tena wakinga,wahindi wakiongozwa na waarabu wamechukua mji.
Ccm iringa inaongozwa na asas Abri.Watoto wake wananyathifa kubwa Ccm hapo Iringa.
Kuna fununu kwamba jamaa kao kwa Abri.
 

Ni kama watu wa iringa wanaweza zaidi biashara za hotel??vipi ukiangalia kwa undani hizo biashara wanazomiliki ni za long term au hazina future'kuna hoteli tuliona kitonga sijui kama ipo ila tukipita pale tunaona panasuasua'tutajie wafanya biashara ambao wana future nzuri'mbona hujataja majembe??
 
ndo maana hata mbunge wao ni mkinga, hawa jamaa walikuwa wanawadharau wakinga miaka ya nyuma lakini siku hizi wamegeuka ndo walinzi wa maduka ya wakinga. Wanajiita TULIVAGAYASIDA maana yake hawana shida.

mkuu hilo umenena wahehe wengi hawapendi kujishughusha ni watu wa kuridhiki na kidogo halafu ukimuuliza kuhusu maisha atakujibu ndemgayasida....kuna kaka yangu mmoja aliwai kuwa na duka na iringa kabla ya kuhamia dar miaka ya 90`s ikatokea akaajiri mlinzi mhehe. Bas huyo mlinzi akawa anajitapa kweli kwa jamaa zake eti (ndilinda akaduka ka mkinga) nalinda kaduka ka mkinga wakati yeye analipwa elfu ishirini duka la mamilion...du hawa ndugu zetu wamejaliwa ushujaa wa kujinyonga tu.!
 
lazima wewe ni mmoja wa ile safari ya watu wa bia za serengeti mambo ya maji yaliyowapeleka huko.....
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…