unprejudiced
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 3,505
- 2,862
Unawazungumzia Waandishi wepi? Wakina Pascal Mayalla, Jackton Manyerere, Sam Mahela au wepi?
Hakuna watu wa Hovyo kama Waandishi wa Tanzania. Na Ndiyo maana sikilizi Taarifa za Habari za Tanzania wala magazeti Maana wanaandika kama Hata shule hawajaenda. Hawana Msaada kwa Jamii ya Tanzania.
Nilowapuuuza Kabisa na Kuwaona hopeless pale Waliposhindwa Kusimamia Msimamo wao kwa Kumgomea Nyamitako badala yake wao ndiyo wakaanza kujipendekeza. Waandishi wa Tanzania Makanjaja tu labda Mzee Ulingwe pekee.
Inawezekana kweli makanjanja. Ila hoja yako ndo ya mtu kanjanja Originale. Unataja watu. Ambao una hisia nao hasi so kama waandishi watamtukana na kumgomea usiyempenda Basi ndo wanatoka ukanjanja. Basi Kasome Tanzania Daima. Lina wasomi huwatakao.