Waandishi wa Habari 13 waswekwa rumande ndani ya wiki moja nchini Ethiopia

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Aug 2, 2021
1,029
1,646
Waandishi wa habari 13 wamedaiwa kuwekwa vizuizini nchini katika eneo la Amhara Ethiopia ndani ya wiki moja hatua iliyoonekana kama ukandamizaji wa sauti muhimu, za wanaoripoti kuhusu mgogoro uliopo katika eneo hilo

Inaelezwa kuwa Mei 23, 2022 Siku ya Jumatatu, viongozi wa Amhara, eneo la pili kwa watu wengi nchini Ethiopia, walisema wamewafunga zaidi ya watu 4,500 miongoni mwao walikuwa wanaharakati, wanajeshi na wanamgambo, na wasomi.

Aidha, kutokana na kuendelea kwa kamatakamata hiyo, kumekuwa na wasiwasi wa kusababisha mvutano zaidi na hata ghasia katika nchi hiyo yenye vita vya wenyewe kwa wenyewe na migogoro ya kikabila.
.................................................................................................................
Two more journalists have been detained in the Ethiopian capital, Addis Ababa, increasing the number of reporters and media workers jailed since last week to 13.

The move has been seen by some as a crackdown on critical voices.

The arrests have coincided with the launching of what authorities called a "law enforcement operation" in Amhara region where thousands have been arrested.

Last year the US-based lobby group, the Committee to Protect Journalists, called Ethiopia one of the worst jailers of reporters.

And now a new wave of arrests has seen more than a dozen journalists and media workers detained in a little over a week.

But it’s not only journalists who are being targeted.

On Monday, the authorities in Amhara, Ethiopia’s second most populous region, said they had jailed more than 4,500 individuals.

Among them were activists, military and militiamen, and academics. The arrests have since continued.

Amhara’s spokesperson told the BBC that he doesn’t have the latest figures but the security office told local media that close to 2,000 have additionally been detained.

It comes amid concerns that the continued operation could lead to further tensions - and even violence - in a country blighted by civil war and ethnic conflicts.

Source: BBC
 
Waandishi wawili wameshikiliwa Jijini Addis Ababa Nchini Ethiopian, hiyo inafanya idadi ya waandishi walioshikiliwa kufikia 13.

Kukamatwa kwa watu hao kumeenda sambamba na kuanzishwa kwa kile mamlaka ilichokiita ‘Operesheni ya kutekeleza sheria" katika Mji wa Amhara ambapo maelfu wametiwa mbaroni.

Wanahabari wamekuwa wakinyimwa uhuru wa kujieleza, lakini si wao tu inaelezwa kuwa hata watu binafsi nao wanakabiliwa na hali hiyo.
===
Thirteen Ethiopian journalists arrested in over a week

Two more journalists have been detained in the Ethiopian capital, Addis Ababa, increasing the number of reporters and media workers jailed since last week to 13.

The move has been seen by some as a crackdown on critical voices.

The arrests have coincided with the launching of what authorities called a "law enforcement operation" in Amhara region where thousands have been arrested.

Last year the US-based lobby group, the Committee to Protect Journalists, called Ethiopia one of the worst jailers of reporters.

And now a new wave of arrests has seen more than a dozen journalists and media workers detained in a little over a week.

But it’s not only journalists who are being targeted.

On Monday, the authorities in Amhara, Ethiopia’s second most populous region, said they had jailed more than 4,500 individuals.

Among them were activists, military and militiamen, and academics. The arrests have since continued.

Amhara’s spokesperson told the BBC that he doesn’t have the latest figures but the security office told local media that close to 2,000 have additionally been detained.

It comes amid concerns that the continued operation could lead to further tensions - and even violence - in a country blighted by civil war and ethnic conflicts.


Source: BBC
 
Back
Top Bottom