Burkina Faso yaripoti mauaji ya Watu 170 waliochinjwa ndani ya wiki moja, Machafuko ya Kidini yakitajwa

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,377
8,121
BURKINA FASO: Takriban Watu 170 kutoka katoka Vijiji vya Komsilga, Nodin, na Soro katika Mji wa Yatenga, wameripotiwa kuuawa na Waasi wanaohusishwa na Vikundi vya al Qaeda na IS.

Taarifa iliyotolewa leo na Mwendesha Mashtaka wa Serikali leo Machi 3, 2024 imeeleza kuwa mauaji hayo yaliyoanza Wiki iliyopita yalihusisha Watu 17 waliokutwa Kanisani na maeneo mengine ya mikusanyiko katika Vijiji hivyo.

Amesema tayari uchunguzi wa kina umeanza juu ya tukio hilo ambalo ni mwendelezo wa matukio ya Ukatili na Unyanyasaji unaotajwa kuhusisha masuala ya Kidini ambayo yamekuwa yakisababisha machafuko na vifo kwa zaidi ya miaka 10 ikiwemo Watu zaidi ya Milioni 2 kuyakimbia makazi.

=====

Around 170 people were "executed" in attacks on three villages in northern Burkina Faso a week ago, a regional prosecutor said in a statement seen on Sunday.

The attacks by unknown assailants were carried out on the villages of Komsilga, Nodin and Soro in the Yatenga province, the statement dated March 1 said, adding that an investigation had been launched.

The West African Sahel nation has been struggling to contain violent Islamist insurgencies linked to al Qaeda and Islamic State that have spread from neighbouring Mali over the past decade, killing thousands and displacing more than two million.
 
Wengine tukisema Uislamu ni laana, muislamu yeyote yule amelaaniwa tunatukanwa na kuonekana hatuna akili.
Tuliza kiwiliwili vizuri upakatwe
IMG_20230828_174728.jpg


Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Habari ni kuhusu mauaji yanayosemekana yanachochewa na dini; walioamrishwa kufirwa na Papa tayari wamekurupuka na kuanza kuushambulia Uislamu kama vile imeshasemwa ni dini zipi zinahusika katika mgogoro huo na kisa ni nini haswa. Kama ni mwaka tu umepita tangu muanze kutekeleza amri hiyo ya kunyanduliwa mmekuwa hivi, ikipita miaka 5 ya utekelezaji itakuaje?!!!
 
Walaumuni waliotengeneza hivyo vikundi, na sio kutulaumu waislamu.

USA na TAIFA HARAMU walaumuni
 
Hawa al qaida na ISIS ni wahuni tuu, hawana uislamu wowote. Itoshe kusema, ni karata ya mataifa ya magharibi kuwatumia hawa kupitia taasisi zao za kijasusi (CIA, MOSAD, MI6 n.k) ili kufanikisha malengo yao. Sababu kubwa hawa kutumika Burkina Faso ni kujitoa kwa nchi hiyo katika mifumo ya kimagharibi, hususan Ufaransa, kulikotokana na mapinduzi ya kijeshi. Hivyo, kuharibu maslahi ya nchi hizo waliyokuwa wakiyapata kupitia mfumo huo. Burkinabe kwa sasa ipo karibu sana na taifa la Urusi. Hili swala halijawafurahisha hawa wakoloni na katika kutetea maslahi yao wanaamua kuleta machafuko.
 
BURKINA FASO: Takriban Watu 170 kutoka katoka Vijiji vya Komsilga, Nodin, na Soro katika Mji wa Yatenga, wameripotiwa kuuawa na Waasi wanaohusishwa na Vikundi vya al Qaeda na IS.

Taarifa iliyotolewa leo na Mwendesha Mashtaka wa Serikali leo Machi 3, 2024 imeeleza kuwa mauaji hayo yaliyoanza Wiki iliyopita yalihusisha Watu 17 waliokutwa Kanisani na maeneo mengine ya mikusanyiko katika Vijiji hivyo.

Amesema tayari uchunguzi wa kina umeanza juu ya tukio hilo ambalo ni mwendelezo wa matukio ya Ukatili na Unyanyasaji unaotajwa kuhusisha masuala ya Kidini ambayo yamekuwa yakisababisha machafuko na vifo kwa zaidi ya miaka 10 ikiwemo Watu zaidi ya Milioni 2 kuyakimbia makazi.

=====

Around 170 people were "executed" in attacks on three villages in northern Burkina Faso a week ago, a regional prosecutor said in a statement seen on Sunday.

The attacks by unknown assailants were carried out on the villages of Komsilga, Nodin and Soro in the Yatenga province, the statement dated March 1 said, adding that an investigation had been launched.

The West African Sahel nation has been struggling to contain violent Islamist insurgencies linked to al Qaeda and Islamic State that have spread from neighbouring Mali over the past decade, killing thousands and displacing more than two million.
Na tukisema wenye hiyo dini wamelaaniwa tunaonekana wabaya
 
Back
Top Bottom