CPJ: Waandishi 22 WAMEUAWA katika vita ya Israel na Palestina

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,309
5,464
Taasisi ya Kutetea Waandishi wa Habari (CPJ) imesema Waandishi 22 waliopoteza maisha kutokana na vita inaendelea iliyoanza Oktoba 7, 2023, Raia wa Palestina ni 18, Israel (3) na Lebanon (1).

CPJ inahusisha vifo 15 kati ya hivyo na mashambulizi ya anga ya Israel na mawili yalitokana na mashambulizi ya Hamas, Waandishi wanane wamejeruhiwa na watatu hawajulikani walipo au wamezuiliwa.

Taarifa ya taasisi hiyo imeeleza "CPJ inasisitiza Waandishi wa Habari ni raia wanaofanya kazi muhimu wakati wa machafuko na hawapaswi kulengwa na pande zinazopigana."

######

At least 22 journalists killed, says campaign group

At least 22 journalists have been killed since fighting between Israel and Hamas broke out on 7 October, according to the Committee to Protect Journalists.

These include 18 Palestinians, three Israelis and one Lebanese, the committee says in a statement.

The CPJ attributes 15 of these deaths to Israeli airstrikes and two to Hamas attacks in southern Israel. Eight journalists have been reported injured and three are either missing or have been detained, it adds.

"CPJ emphasises that journalists are civilians doing important work during times of crisis and must not be targeted by warring parties," a spokesperson says.

Source: BBC
 
Tatizo la Waandishi wa habari wengi ni wanoko sasa huo unoko wao huwa wanata kuupeleka hadi vitani. Hebu piga hesabu kama saizi gaza muda wote wanarushwa ni mabomu tu tena yale mazito. Lakini muandishi wa habari yeye anaenda kutafuta nini na kikamera chake.
 
Hapo hakuna waandishi wa habari wote ni wambea hao .🇮🇱🇮🇱
 
Taasisi ya Kutetea Waandishi wa Habari (CPJ) imesema Waandishi 22 waliopoteza maisha kutokana na vita inaendelea iliyoanza Oktoba 7, 2023, Raia wa Palestina ni 18, Israel (3) na Lebanon (1).

CPJ inahusisha vifo 15 kati ya hivyo na mashambulizi ya anga ya Israel na mawili yalitokana na mashambulizi ya Hamas, Waandishi wanane wamejeruhiwa na watatu hawajulikani walipo au wamezuiliwa.

Taarifa ya taasisi hiyo imeeleza "CPJ inasisitiza Waandishi wa Habari ni raia wanaofanya kazi muhimu wakati wa machafuko na hawapaswi kulengwa na pande zinazopigana."

######

At least 22 journalists killed, says campaign group

At least 22 journalists have been killed since fighting between Israel and Hamas broke out on 7 October, according to the Committee to Protect Journalists.

These include 18 Palestinians, three Israelis and one Lebanese, the committee says in a statement.

The CPJ attributes 15 of these deaths to Israeli airstrikes and two to Hamas attacks in southern Israel. Eight journalists have been reported injured and three are either missing or have been detained, it adds.

"CPJ emphasises that journalists are civilians doing important work during times of crisis and must not be targeted by warring parties," a spokesperson says.

Source: BBC
hupaswi kulengwa halaf unaenda kukaa kwenye target ya mapigano , vichaa hao watulie waache umbeya
 
Taasisi ya Kutetea Waandishi wa Habari (CPJ) imesema Waandishi 22 waliopoteza maisha kutokana na vita inaendelea iliyoanza Oktoba 7, 2023, Raia wa Palestina ni 18, Israel (3) na Lebanon (1).

CPJ inahusisha vifo 15 kati ya hivyo na mashambulizi ya anga ya Israel na mawili yalitokana na mashambulizi ya Hamas, Waandishi wanane wamejeruhiwa na watatu hawajulikani walipo au wamezuiliwa.

Taarifa ya taasisi hiyo imeeleza "CPJ inasisitiza Waandishi wa Habari ni raia wanaofanya kazi muhimu wakati wa machafuko na hawapaswi kulengwa na pande zinazopigana."

######

At least 22 journalists killed, says campaign group

At least 22 journalists have been killed since fighting between Israel and Hamas broke out on 7 October, according to the Committee to Protect Journalists.

These include 18 Palestinians, three Israelis and one Lebanese, the committee says in a statement.

The CPJ attributes 15 of these deaths to Israeli airstrikes and two to Hamas attacks in southern Israel. Eight journalists have been reported injured and three are either missing or have been detained, it adds.

"CPJ emphasises that journalists are civilians doing important work during times of crisis and must not be targeted by warring parties," a spokesperson says.

Source: BBC
expand...
Kwanini Israel miaka yote anasaidiwa na America, Uk; France na silaha kubwa wanazo na wanazotumia kila wakati. Lkn juzi wametekwa kama anakamatwa kuku ktk kibanda chake?
 
Tatizo la Waandishi wa habari wengi ni wanoko sasa huo unoko wao huwa wanata kuupeleka hadi vitani. Hebu piga hesabu kama saizi gaza muda wote wanarushwa ni mabomu tu tena yale mazito. Lakini muandishi wa habari yeye anaenda kutafuta nini na kikamera chake.
Tungejuaje ukweli wa mambo Acha ujinga kama sio uoga..basi sema na watoto wa gaza waondoke gaza wakati kote vivuko viko under controlled by
 
Back
Top Bottom