Waandamanaji wanaoiunga mkono Hamas wateka jengo chuo kikuu cha Columbia

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,361
11,246
Katika hali inayoonekana kuongezeka kwa maandamano ya kuiunga mkono Hamas na kuilaani Israel huko chuo kikuu cha Columbia nchini Marekani,waandamanaji hao wameteka moja ya jengo la chuo kikuu hicho.

Utekaji huo ulifanyika muda mfupi kabla ya onyo lililotolewa na kuondoka kwenye mahema yaliyojengwa na waandamanaji chuoni hapo na kutangazwa moja kwa moja na redio ya FM ya inayorusha matangazo kutoka chuoni hapo.

Waandamanaji hao mara baada ya kulikalia jengo hilo walipanda juu na kuunganisha mikono yao huku wakipeperusha bendera za Palestina na hijabu ambayo ni ishara illiyovaliwa na muasisi wa harakati za Palestina,jmarehemu Yasser Arafat.

Jengo linaloshikiliwa na waandamanaji hao ni kitovu cha upinzani uliofanywa chuoni hapo mwaka 1968 kupinga vita vya Vietnama na ukombozi wa haki za kiraia.

Protesters take over Columbia University's Hamilton Hall in escalation of anti-war demonstrations

 
Hao waarabu walizamia huko Marekani baada ya kukimbia zile sheria za wahenga wa karne ya saba ambazo ni mbaya zaidi kuliko athari za kipigo wanachopata wapalestina huko Gaza.
 
Automatically tu nilianza kutowaamini wasomi.
Wameangusha Ustaarabu wa Dunia na kusambaza Machafuko kwa Nadhalia zao za kipuuzi
Imagine kile mabacho wasomi wakubwa wa Ulaya na Marekani hawakukiona Mtu asiye na Elimu kubwa Sheikh Abdullah bin Zayed Al-Nahyan alikiona wakati amekaa chumbani kwake tu.
Juzi kwenye akaunt yake ya Tweeter alikumbushia Onyo lake kwa kusema" I TOLD YOU SO".
Ulaya na Us ni kama vile hawana plan B.
Adui yao hana silaha,ila bingwa ****- manipulate.
Kuna wakati itabidi wazungu wauane wao kwa wao.
 
Hao waarabu walizamia huko Marekani baada ya kukimbia zile sheria za wahenga wa karne ya saba ambazo ni mbaya zaidi kuliko athari za kipigo wanachopata wapalestina huko Gaza.
Kuna wazungu wengi tu wa asili kwenye maandamano
 
Hivi ungesema hivi wkt wa vita ya Vietnam?..walioandama na kupinga vita wkt huo walikua na mlengo sawa na hawa wa sasa
 
Back
Top Bottom