Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,194
- 10,929
Utafiti wa Khalil Shikaki,mpalestina mwenye ofisi zake Ramallah ameweka wazi utafiti wake unaobainisha kuwa idadi kubwa ya wapalestina wanaunga mkono maamuzi ya Hamas kupambana na Israel.
Kwa mujibu wa utafiti huo ambao umefanyika pande zote za Palestina,jumla ya 72% ya waliohojiwa wamesema Hamas ilifanya sahihi kushambulia Israel mnamo oktoba 7.
Hayo ni matokeo ya kushangaza ukitilia maanani kuwa yalifanyika katika kipindi cha wiki moja ya kusitishwa vita na kubadilishana mateka kwa wafungwa kwa kuzingatia kuwa wapalestina hao walikuwa wameshudhudia yale mapigo makali ya Israel yaliyokuwa yamesababisha vifo vya maelfu ya watu na kubomolewa kwa majumba yao sambaba na kuhamishwa kutoka maeneo yao.
Kwa mujibu wa utafiti huo ambao umefanyika pande zote za Palestina,jumla ya 72% ya waliohojiwa wamesema Hamas ilifanya sahihi kushambulia Israel mnamo oktoba 7.
Hayo ni matokeo ya kushangaza ukitilia maanani kuwa yalifanyika katika kipindi cha wiki moja ya kusitishwa vita na kubadilishana mateka kwa wafungwa kwa kuzingatia kuwa wapalestina hao walikuwa wameshudhudia yale mapigo makali ya Israel yaliyokuwa yamesababisha vifo vya maelfu ya watu na kubomolewa kwa majumba yao sambaba na kuhamishwa kutoka maeneo yao.