Wahindi na waarabu wengi wao ni mafundi wa biashara za kilanguzi,ni wahongaji na wachakachuaji wazuri....wana jumuiya zao ambapo hukopeshana na kupeana deals mbalimbali.Uzuri wao ni kuwa,ulevi na anasa za kipuuzi hawazifagilii,hata ukienda picnic,utakuta familia zao zinakunywa soda na cheuro while sisi wabongo tunabwia bia,whisky na kitimoto(expensive stuff).
Ndio maana ukileta picha za wamiliki wa BAR na MABANDA YA KITIMOTO watakuwa wale wazalendo wasomi wetu! HIZO NDIO BIASHARA ZA "kimungu"!Biashara ya Mafuta ina uhusiano na MAJINI aka Ma Sheikh-Twan
<br />wahindi na waarabu wanapenda ku monopolise biashara ya mafuta hivyo watanzania wakijaribu kuingia wanapata vikwazo vingi sana.pili swala la mtaji pia hukwamisha watu,tatu uzoefu wa biashara husika ni kikwazo kingine kinachokwamisha wabongo kutia maguu kwenye hiyo biashara.n hayo tu
<br />Ukweli hubaki kuwa ukweli.<br />
<br />
Leo tunalalamika wakati tunajijua wazi kabisa kuwa hata makazini hatuishi:<br />
<br />
<b>Kufiwa</b>: Leo mjomba kesho anti, kesho kutwa bibi, mpaka wengine wanasahau leo sijui waseme wamefiwa na nani. Kuumwa, kwenda kunywa chai saa za ofisi, masababu kibaao.<br />
<br />
Hatujui kuwajibika kabisa, kila kitu baadae, njoo kesho, leo hayupo kenda kuzika, ametoka kwenda kula, atarudi sasa hivi msuniri kidogo.<br />
<br />
Nenda kwenye biashara za wahindi na waarabu, hukuti kitu kama hicho. Akiumwa anaumwa kweli, akifiwa kafiwa kweli. Halafu tunataka kushinda nao?
<br />
<br />
Wahindi na Waarabu siyo Watanzania?
Wengi wao wanauraia wa nchi mbili (nna ushahidi) hivyo kwa mujibu wa katiba yetu wanakoma kuwa wa tanzania.
View attachment 34907
..nimepita kule michuzi blog nikashtuka kuona picha ya waagizaji wa mafuta nchini.
..jamani sijawahi kuona ktk nchi yoyote ile wananchi wake wakiwa under-represented kiasi hiki.
..kwanini hakuna Watanzania halisi ktk biashara hii?
..hivi serikali imeridhika na hali ilivyo kwamba biashara hii iwe monopoly ya Wahindi na Waarabu tu?
..call me mbaguzi or whatever you want, but we need to AFRICANIZE this business without any delay or excuses.
<br />Si kweli kwamba wana mitaji mikubwa, ni kazi/biashara ambayo ni ya kizulumati sana <br />
Ukiwa na roho wa Mungu huifanyi hio biashara. Mm nafanya kazi na watu wa mafuta nawajua sana. Mleta mada angeongezea pia mbona wauzaji wa mafuta 90% sio wakristo???
Kwa namna hawa wadosi wanavyoiendesha puta serikali legelege ya JK, mtu unashindwa kuelewa hawa watu wana nguvu kiasi gani.
Isijekuwa kuna wamatumbi wenzetu nyuma ya pazia, hawa wadosi wanatumika kimtindo?? au inawezekana hawa wadosi wanapenyeza sana rupia kwa wamatumbi wenzetu walioko kwenye ngazi za maamuzi hivyo kuwafanya kushikwa na kigugumizi katika kuwachukulia hatua wanapotuibia.
Mambo kama haya ndo husababisha wakati mwingine mtu umkumbuke "mzee wa ma*********".
View attachment 34907
..nimepita kule michuzi blog nikashtuka kuona picha ya waagizaji wa mafuta nchini.
..jamani sijawahi kuona ktk nchi yoyote ile wananchi wake wakiwa under-represented kiasi hiki.
..kwanini hakuna Watanzania halisi ktk biashara hii?
..hivi serikali imeridhika na hali ilivyo kwamba biashara hii iwe monopoly ya Wahindi na Waarabu tu?
..call me mbaguzi or whatever you want, but we need to AFRICANIZE this business without any delay or excuses.
..nimepita kule michuzi blog nikashtuka kuona picha ya waagizaji wa mafuta nchini.
..jamani sijawahi kuona ktk nchi yoyote ile wananchi wake wakiwa under-represented kiasi hiki.
..kwanini hakuna Watanzania halisi ktk biashara hii?
..hivi serikali imeridhika na hali ilivyo kwamba biashara hii iwe monopoly ya Wahindi na Waarabu tu?
..call me mbaguzi or whatever you want, but we need to AFRICANIZE this business without any delay or excuses.