Waagizaji mafuta: Kwanini Wahindi na Waarabu peke yao?!

..nimepita kule michuzi blog nikashtuka kuona picha ya waagizaji wa mafuta nchini.

..jamani sijawahi kuona ktk nchi yoyote ile wananchi wake wakiwa under-represented kiasi hiki.

..kwanini hakuna Watanzania halisi ktk biashara hii?

..hivi serikali imeridhika na hali ilivyo kwamba biashara hii iwe monopoly ya Wahindi na Waarabu tu?

..call me mbaguzi or whatever you want, but we need to AFRICANIZE this business without any delay or excuses.


Natumaini ulimaanisha hivi!!!!!!!!!!!!! hapo kwenye RED

TANZANIA TANZANIA NAKUPENDA ..............................NILALALAPO NAKUOTA WEWE NIAMKAPO NI HERI MAMA WE!!!!!!!!!!!!!!

View attachment 34950


Picha juu eti hawa ni ya Watanzania Wazalendo waagiza Mafuta kwa niaba ya Watanzania,ili tujenge Tanzania yenye USAWA,UPENDO,UNDUGU na UKIZINGATIA WOSIA WA BABA WA TAIFA.TAIFA HILI LITAJENGWA NA WAZALENDO WENYE MOYO WATAKAO VUTWA NA UCHUNGU WA KUWASAIDA KUWAINUA MASKINI NDUGU ZAO WALIOKO KATIKA VIJIJI VYETU NCHI NZIMA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

UCHUNGU MPAKA BASI SIPENDI LAKINI SINA JINSI ACHA HEKIMA NA BUSARA ICHUKUE MKONDO WAKE IKO SIKU ISIYO NA JINA .

Watawala wetu haya yana mwisho.

Kwa picha hiyo na tabia za vigogo wa biashara za mafuta wao wametuma wawakilishi wao hapo sizani kama wenyewe wametia timu hapo.


Hakika ukombozi wa kumilki uchumi na rasimali kwa Watanzania halisi bado,ndio maana mpambano utazidi kuwa mkubwa.
 

Attachments

  • Pix-2.JPG
    Pix-2.JPG
    43.6 KB · Views: 31
Biashara ya mafuta katika uchumi wa nchi ni sawa tu na damu katika mwili wa binadamu hivyo kuwaachia tu kundi fulani tu kuhodhi sekta hii ni jambo ambalo ni HATARI SANA kwa ustwi mzuri wa nchi yetu.

Tunahiji sera mpya ya sekta hii ya mafuta na ipanuliwe zaidi ili kuwepo na urahisi wa hata wenye mitaji midogo midogo tukiwemo ngozi nyeusi tujichanganye mle na mtu asitudhibiti kwa UWEZO WETU MDOGO KATIKA KUTOA RUSHWA kutumika kutuzuia kuingia katika biashara hii.

Kwa ujumla kuna haja tuwe na waagizaji mafuta WENGI ZAIDI kuliko hivi sasa ambapo wenyewe wahesabika tu kwa vidole viganjani kwa taifa zima la Tanzania.


Ukweli uko wazi kwamba...waarabu koko hawa babu zao na ndugu zao ndiko yanakotoka mafuta...uarabuni....bila kuwachambua kwa nchi mojamoja.

Ni mahiri kwa majahazi bubu unguja, pemba na ukanda wa pwani ya afrika mashariki kuiba na kusafirisha karafuu...prawns {kamba kochi}....lobstrers{jongoo bahari} na uwindaji haramu wa pembe za ndovu...meno..

na ngozi za wanyama...tena kila mwarabu ana shortgun na rifle ndani aliachiwa na babu zake enzi za utumwa (slave trade).

Kadri muda uendavyo na techology na siasa za dunia kubadilika...wamejikuta wanabadilika na kuingia ktk biashara za majumba kkoo..msasani...namanga...biashara za daladala na mabasi ya ubungo...sanjari na uingizaji na uuzaji mafuta. Kwa kuwa wanaamini wao ndo pekee ktk deal la mawese ndo maana wanaleta mbwembwe.

Ningelikuwa mimi mwana wa afrika ndo mtoto wa mkulima...kesho asb unaamka na kukuta kituo chako cha mafuta kina maandishi makubwa kuwa...KISIMA HIKI NI MALI YA UMMA USAJILI No 1...2...3.. Kama enzi za mzee wa busara wakati wa Azimio la Arusha na wadosin. Ombeni miungu yenu...

na mkumbuke chadema hakuna ******* wala *********...yanasubiri uraia wa nchi mbili tu haya hayana uzalendo wowote nchini. Unapoipa serikali masaa 24 hujui kuwa viongozi wa serikali hawapati shida ya mafuta kama tunavyopata shida wananchi. Wazalendo kweli ninyi? Jingine Igunga limeachia ngazi kwa tuhuma..kama jasiri si lingebaki...in maana kweli fisadi...

wenzenu walitoa mafuta bure wakati wa majanga ya kitaifa...kwa ninavyowaona nyie...kama siyo wajomba za OSAMA sijui? Samahani kuwaharibia pozi la saumu
 
Mzaha mkubwa huu!!!

Ikija kwenye swala la Watanzania kuhamia CANADA kwenda kuishi huko wajanja huagiza WAHINDI kutoka India na Pakistani na kufungiwa ndani Dar es Salaam.

Mara baada ya kitu ka miezi mitatu hivi wakipigwa brash KISWAHILI na kutembezwa tu gizani kujinyoosha viunga na baadaye kusafiria pasi zetu kana kwamba nao pia ni Watanzania tena wa kujichagulia vijiji mara Ifakara kwao na Abbas Gulamali au Singida ...

Hivi ni kweli kwamba Watanzania sisi hatupo au hatupendi na sisi kutumia fursa hizi??? Kwa nini kwenda kuwagiza watu toka nje ya nchi na baada ya kipindi kifupi tu mnampa fursa nzuri na kuwa bilionea na kutoweka na fedha nje ya nchi kwenda Canada kwa niaba yetu????????

Kashfa hii nzito isizungumzwa wazi nchini mpaka hivi sasa imewafanya Wa-Canadawafike mahala na kuduazwa kwa swali la upole sana wahoji kwamba kwao wao walikua wakidhani taifa la Tanzania ni la Waafrika weusi; iweje wanaoingia kwao kila siku weusi hawaonekani hata kidogo???????????

Sasa jamani wenzetu mlioko serikalini kwanini Mtanzania mweusi yeye awe akihujumiwa kwa kila kitu kiasi hiki mpaka hata kwenye biashara hii ya mafuta na maeneo mengi tu sisi mngependa tuwe ni WALAJI TU WA KUDUMU na wala si wauzaji????????????

Swali hili linawauma sana Watanzania tuliowengi hata mkijifanya hamlioni; wabunge wetu vipi mnaliona hili BOMU la wakati wowote katika taifa letu kweli???

Hakuna anayependa kufikiria ki-ubaguzi lakini wenzenu tunafika mahala pamoja na ujinga wetu na kuanza kujiuliza maswali magumu ambayo yasipojibiwa kwa wakati kisera ...

Natumaini ulimaanisha hivi!!!!!!!!!!!!! hapo kwenye RED

TANZANIA TANZANIA NAKUPENDA ..............................NILALALAPO NAKUOTA WEWE NIAMKAPO NI HERI MAMA WE!!!!!!!!!!!!!!

View attachment 34950


Picha juu eti hawa ni ya Watanzania Wazalendo waagiza Mafuta kwa niaba ya Watanzania,ili tujenge Tanzania yenye USAWA,UPENDO,UNDUGU na UKIZINGATIA WOSIA WA BABA WA TAIFA.TAIFA HILI LITAJENGWA NA WAZALENDO WENYE MOYO WATAKAO VUTWA NA UCHUNGU WA KUWASAIDA KUWAINUA MASKINI NDUGU ZAO WALIOKO KATIKA VIJIJI VYETU NCHI NZIMA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

UCHUNGU MPAKA BASI SIPENDI LAKINI SINA JINSI ACHA HEKIMA NA BUSARA ICHUKUE MKONDO WAKE IKO SIKU ISIYO NA JINA .

Watawala wetu haya yana mwisho.

Kwa picha hiyo na tabia za vigogo wa biashara za mafuta wao wametuma wawakilishi wao hapo sizani kama wenyewe wametia timu hapo.


Hakika ukombozi wa kumilki uchumi na rasimali kwa Watanzania halisi bado,ndio maana mpambano utazidi kuwa mkubwa.
 
Duh Jamani bado tu mnawalaumu waarabu... Haya nawauliza tena Mungu kawapa jangwa lenye mafuta leo mnataka biashara ya mafuta maadam inaingia kwenu basi muishike wenyewe? Haya Mungu kawapenia rdhi yenye rutuba, leo mnasema kilimo sio uti wa mgongo mnataka kufanya biashara ya mafuta hali mafuta yenyewe ya mwarabu kisha huna mtaji kwa sababu mmetelekeza kilimo..

Mungu katuzawadia Maliasili na Rasilimali kibao ambazo hawa waarabu na wahindi wangeomba wapewe kulingana nasi lakini hayatoshi kwetu isipokuwa kufuru ya tunatazama mwarabu na Mhindi ana kitu gani. Na sijui kama tungepewa jangwa lenye mafuta tungeweza hata kujikimu maanake tumeshindwa kabisa hata kazi na biashara ndogo za kiasili.. Tazama Sudan na Nigeria wanayo mafuta lakini ndio wanauana utafikiri wanyama mbuga ya serengeti..
Kisha haya ya kusema mbona wauza Mafuta (wachuuzi) 90% sio wakristu ni ufinyu wa miafrika ktk kujazia, ikiwa 90% ya waarabu na wahindi sio wakristu ulitegemea itokee miujiza gani?. Hata, hivyo ili wauze mafuta hayo, hao Waarabu na Wahindi wote wanawategemea wazungu ambao asilimia 90 ni wakristu!

Mkandara,
Simple answers, na vilvile tusijirizishe kwa kwa misemo ya "kale" kama hiyo. Kama kweli Waaarabu na Wahindi ndiyo waligundua biashara duniani kwa nini Waarabu na wahindi hao wasiwe sucessful sehemu nyingine duniani? Hawana domination ya biasahara Japana, North America, Ulaya, Australia, China, South Africa, Brazil etc Waao wamejikita tu kwenye hizi "banana" states? Corruption. Anywhere there are successful Indians and Arabs there must be corruption especially in Africa.

Mkandara ujionee huruma sana kwa kuwa duniani kuna vitu amavyo huwezi kumpa mgeni atawale; ENERGY, Agriculture ni backbone ya uchumi wa Nchi. Unicoal ilivyotaka kuuzwa kwa wachina CNOOC Congress ya Marekani ilikataa kabisa kwa kuwa mchina angekuwa nauwezo mkubwa kucontrol ENERGY. Sisi ni tahira viongozi wetu ni tahira ndiyo tumefika tulipo hapa. Really si uongo; dunia huko tuendako Nchi kama Tanzania sijui zitaitwaje; maana hamna identity.
 
Mkandara,
Simple answers, na vilvile tusijirizishe kwa kwa misemo ya "kale" kama hiyo. Kama kweli Waaarabu na Wahindi ndiyo waligundua biashara duniani kwa nini Waarabu na wahindi hao wasiwe sucessful sehemu nyingine duniani? Hawana domination ya biasahara Japana, North America, Ulaya, Australia, China, South Africa, Brazil etc Waao wamejikita tu kwenye hizi "banana" states? Corruption. Anywhere there are successful Indians and Arabs there must be corruption especially in Africa.

Mkandara ujionee huruma sana kwa kuwa duniani kuna vitu amavyo huwezi kumpa mgeni atawale; ENERGY, Agriculture ni backbone ya uchumi wa Nchi. Unicoal ilivyotaka kuuzwa kwa wachina CNOOC Congress ya Marekani ilikataa kabisa kwa kuwa mchina angekuwa nauwezo mkubwa kucontrol ENERGY. Sisi ni tahira viongozi wetu ni tahira ndiyo tumefika tulipo hapa. Really si uongo; dunia huko tuendako Nchi kama Tanzania sijui zitaitwaje; maana hamna identity.

Wewe hivi upo dunia gani? Mainvestor wakubwa Marekani, Uingereza ni Wahindi na Waarabu. Waarabu wana stake kubwa ktk kila kampuni Marekani. Walitaka hadi kununua port, lakini Udini ukaletwa kuwazuia. Wewe unafikiri hela za mafuta za Waarabu zinafanya kazi gani?
 
Mkandara,
Simple answers, na vilvile tusijirizishe kwa kwa misemo ya "kale" kama hiyo. Kama kweli Waaarabu na Wahindi ndiyo waligundua biashara duniani kwa nini Waarabu na wahindi hao wasiwe sucessful sehemu nyingine duniani? Hawana domination ya biasahara Japana, North America, Ulaya, Australia, China, South Africa, Brazil etc Waao wamejikita tu kwenye hizi "banana" states? Corruption. Anywhere there are successful Indians and Arabs there must be corruption especially in Africa.

Mkandara ujionee huruma sana kwa kuwa duniani kuna vitu amavyo huwezi kumpa mgeni atawale; ENERGY, Agriculture ni backbone ya uchumi wa Nchi. Unicoal ilivyotaka kuuzwa kwa wachina CNOOC Congress ya Marekani ilikataa kabisa kwa kuwa mchina angekuwa nauwezo mkubwa kucontrol ENERGY. Sisi ni tahira viongozi wetu ni tahira ndiyo tumefika tulipo hapa. Really si uongo; dunia huko tuendako Nchi kama Tanzania sijui zitaitwaje; maana hamna identity.

Kuna sekta kubwa zaidi ambazo zinamilikiwa na Wachina na hiyo Congress haina cha kufanya. Marekani ya sasa hivi siyo Marekani unayoijua wewe. China wanamiliki assets nyingi sana Marekani, na ndiyo nchi inayoidai madeni makubwa Marekani.
 
Natumaini ulimaanisha hivi!!!!!!!!!!!!! hapo kwenye RED

TANZANIA TANZANIA NAKUPENDA ..............................NILALALAPO NAKUOTA WEWE NIAMKAPO NI HERI MAMA WE!!!!!!!!!!!!!!

View attachment 34950


Picha juu eti hawa ni ya Watanzania Wazalendo waagiza Mafuta kwa niaba ya Watanzania,ili tujenge Tanzania yenye USAWA,UPENDO,UNDUGU na UKIZINGATIA WOSIA WA BABA WA TAIFA.TAIFA HILI LITAJENGWA NA WAZALENDO WENYE MOYO WATAKAO VUTWA NA UCHUNGU WA KUWASAIDA KUWAINUA MASKINI NDUGU ZAO WALIOKO KATIKA VIJIJI VYETU NCHI NZIMA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

UCHUNGU MPAKA BASI SIPENDI LAKINI SINA JINSI ACHA HEKIMA NA BUSARA ICHUKUE MKONDO WAKE IKO SIKU ISIYO NA JINA .

Watawala wetu haya yana mwisho.

Kwa picha hiyo na tabia za vigogo wa biashara za mafuta wao wametuma wawakilishi wao hapo sizani kama wenyewe wametia timu hapo.


Hakika ukombozi wa kumilki uchumi na rasimali kwa Watanzania halisi bado,ndio maana mpambano utazidi kuwa mkubwa.


Mbona ulalamiki kwamba kazi zote za kazini zinamilikiwa na Wakiristo? Nyerere kawapendelea Wakiristo, kawapa kazi zote, serikali inawajengea shule kila mwaka. Mbona husemi kuhusu Waislamu wnaonyimwa hizo haki?
 
Kuna sekta kubwa zaidi ambazo zinamilikiwa na Wachina na hiyo Congress haina cha kufanya. Marekani ya sasa hivi siyo Marekani unayoijua wewe. China wanamiliki assets nyingi sana Marekani, na ndiyo nchi inayoidai madeni makubwa Marekani.
Acha kudanganya watu,madeni unayofikiria wewe ni through bonds ambazo hata waingereza,warusi,watanzania,wanigeria wanazo kwa kuwa ni top notch bonds.Actually,if you hold US treasury bonds it's another way of being a monetary slave to the US government,contrary to the popular belief that you own their economy.
Labda ungenijulisha sekta ambayo China ina-control Marekani.
 
Acha kudanganya watu,madeni unayofikiria wewe ni through bonds ambazo hata waingereza,warusi,watanzania,wanigeria wanazo kwa kuwa ni top notch bonds.Actually,if you hold US treasury bonds it's another way of being a monetary slave to the US government,contrary to the popular belief that you own their economy.
Labda ungenijulisha sekta ambayo China ina-control Marekani.

Acha ujinga wewe bonds ni investement. Unafikiri USA inafaidika inapoissue bonds? nenda kasome ili uelewe vizuri bonds zinapofanya kazi. USA inalipa interests ktk hizi bonds. Na anaefaidika ni yule anaetoa loans, in this case, Mchina anafadika zaidi hapa.
Watu kama nyinyi msiojua finance ndiyo mnakuwa viongozi wa TZ, nonesense.
 
Mkandara,
Simple answers, na vilvile tusijirizishe kwa kwa misemo ya "kale" kama hiyo. Kama kweli Waaarabu na Wahindi ndiyo waligundua biashara duniani kwa nini Waarabu na wahindi hao wasiwe sucessful sehemu nyingine duniani? Hawana domination ya biasahara Japana, North America, Ulaya, Australia, China, South Africa, Brazil etc Waao wamejikita tu kwenye hizi "banana" states? Corruption. Anywhere there are successful Indians and Arabs there must be corruption especially in Africa.
Mkandara ujionee huruma sana kwa kuwa duniani kuna vitu amavyo huwezi kumpa mgeni atawale; ENERGY, Agriculture ni backbone ya uchumi wa Nchi. Unicoal ilivyotaka kuuzwa kwa wachina CNOOC Congress ya Marekani ilikataa kabisa kwa kuwa mchina angekuwa nauwezo mkubwa kucontrol ENERGY. Sisi ni tahira viongozi wetu ni tahira ndiyo tumefika tulipo hapa. Really si uongo; dunia huko tuendako Nchi kama Tanzania sijui zitaitwaje; maana hamna identity.
Mkuu, naona umekurupuka kupost bila kufanya utafiti, hivi unajua kama Ulaya wawekezaji wakubwa matajiri ni Wahindi na Waarabu!
Hivi unawajuwa hawa Matycoon wa kihindi wa Uingereza, Mukesh Ambani, Mike Jatania, Laksmi Mittal, Nat Puri, Jasminder Singh! Hawa nimekutajia wachache tu!
 
Mbona ulalamiki kwamba kazi zote za kazini zinamilikiwa na Wakiristo? Nyerere kawapendelea Wakiristo, kawapa kazi zote, serikali inawajengea shule kila mwaka. Mbona husemi kuhusu Waislamu wnaonyimwa hizo haki?
<br />
<br />
Oooh,mmeshaanza mambo yenu ya Udini,aagh!
 
<font size="4">Ndio maana viongozi wanaamua kuiba fedha zetu ili wakimbie kama waarabu siyo? ah kumbe sasa nimegundua lkn mjue wengine hapo wako kama picha tu wenye biashara zao wako pale magogonii. kwa mfano Lake Oil nasikia ni ya jamaa mmoja pale magogoni kushirikiana na mtoto wake rizinambamoja. Lakini kwenye picha siwaoni sasa wamewakilishwa na nani?</font>
<br />
<br />
Hiyo Lake oil ni ubia baina ya Joseph Kabila na first family pale magogoni
 
<br />
<br />
Oooh,mmeshaanza mambo yenu ya Udini,aagh!

wewe unafikiri vyuo vikuu na masekondary ya wakristo yanayojengwa kila siku anajenga kikwete, mbona asiwajengee waislamu wenzake. waislamu kusoma ni tatizo nenda hata saudi arabia tatizo kubwa la watu pake ni iliteracy , 'ujinga"
 
wewe unafikiri vyuo vikuu na masekondary ya wakristo yanayojengwa kila siku anajenga kikwete, mbona asiwajengee waislamu wenzake. waislamu kusoma ni tatizo nenda hata saudi arabia tatizo kubwa la watu pake ni iliteracy , 'ujinga&amp;quot;
Mkuu, hii thread tunajadili kwa nini waigizaji mafuta nchini ni wahindi na waarabu!
Naona umekuja na mapambano dhidi ya Waislam.
Kwa hiyo Saudia Arabia hamna ata shule?
 
Ukweli uko wazi kwamba...waarabu koko hawa babu zao na ndugu zao ndiko yanakotoka mafuta...uarabuni....bila kuwachambua kwa nchi mojamoja. Ni mahiri kwa majahazi bubu unguja, pemba na ukanda wa pwani ya afrika mashariki kuiba na kusafirisha karafuu...prawns {kamba kochi}....lobstrers{jongoo bahari} na uwindaji haramu wa pembe za ndovu...meno..na ngozi za wanyama...tena kila mwarabu ana shortgun na rifle ndani aliachiwa na babu zake enzi za utumwa (slave trade). Kadri muda uendavyo na techology na siasa za dunia kubadilika...wamejikuta wanabadilika na kuingia ktk biashara za majumba kkoo..msasani...namanga...biashara za daladala na mabasi ya ubungo...sanjari na uingizaji na uuzaji mafuta. Kwa kuwa wanaamini wao ndo pekee ktk deal la mawese ndo maana wanaleta mbwembwe. Ningelikuwa mimi mwana wa afrika ndo mtoto wa mkulima...kesho asb unaamka na kukuta kituo chako cha mafuta kina maandishi makubwa kuwa...KISIMA HIKI NI MALI YA UMMA USAJILI No 1...2...3.. Kama enzi za mzee wa busara wakati wa Azimio la Arusha na wadosin. Ombeni miungu yenu...na mkumbuke chadema hakuna ******* wala *********...yanasubiri uraia wa nchi mbili tu haya hayana uzalendo wowote nchini. Unapoipa serikali masaa 24 hujui kuwa viongozi wa serikali hawapati shida ya mafuta kama tunavyopata shida wananchi. Wazalendo kweli ninyi? Jingine Igunga limeachia ngazi kwa tuhuma..kama jasiri si lingebaki...in maana kweli fisadi...wenzenu walitoa mafuta bure wakati wa majanga ya kitaifa...kwa ninavyowaona nyie...kama siyo wajomba za OSAMA sijui? Samahani kuwaharibia pozi la saumu

Wacha wivu na ujinga wewe jadili ya maana. Kaka yako Chenge ameweka mamilioni yake huko Jersey wanaofaidi ni wazungu. Amekatazwa na nani kuinvest hapa?
 
Wewe hivi upo dunia gani? Mainvestor wakubwa Marekani, Uingereza ni Wahindi na Waarabu. Waarabu wana stake kubwa ktk kila kampuni Marekani.....

Niliona kwenye ile documentary ya Fahrenheit 911, hata kampuni ya mafuta George Bush II iliwahi kuwa bailed out mara mbili na kaka yake Osama.
 
Wewe hivi upo dunia gani? Mainvestor wakubwa Marekani, Uingereza ni Wahindi na Waarabu. Waarabu wana stake kubwa ktk kila kampuni Marekani. Walitaka hadi kununua port, lakini Udini ukaletwa kuwazuia. Wewe unafikiri hela za mafuta za Waarabu zinafanya kazi gani?

[h=1]Who owns America? Hint: It's not China[/h]Editor's Note: The following piece comes from Global Post, which provides excellent coverage of world news - important, moving and odd.
By Tom Mucha, Global Post
Truth is elusive. But it's a good thing we have math.
Our friends at Business Insider know this, and put those two principles to work today in this excellent and highly informative little slideshow, made even more timely by the ongoing talks in Washington, D.C. aimed at staving off a U.S. debt default.
Here's the big idea:
Many people — politicians and pundits alike — prattle on that China and, to a lesser extent Japan, own most of America's $14.3 trillion in government debt.
But there's one little problem with that conventional wisdom: it's just not true. While the Chinese, Japanese and plenty of other foreigners own substantial amounts, it's really Americans who hold most of America's debt.
Here's a quick and fascinating breakdown by total amount held and percentage of total U.S. debt, according to Business Insider:

  • Hong Kong: $121.9 billion (0.9 percent)
  • Caribbean banking centers: $148.3 (1 percent)
  • Taiwan: $153.4 billion (1.1 percent)
  • Brazil: $211.4 billion (1.5 percent)
  • Oil exporting countries: $229.8 billion (1.6 percent)
  • Mutual funds: $300.5 billion (2 percent)
  • Commercial banks: $301.8 billion (2.1 percent)
  • State, local and federal retirement funds: $320.9 billion (2.2 percent)
  • Money market mutual funds: $337.7 billion (2.4 percent)
  • United Kingdom: $346.5 billion (2.4 percent)
  • Private pension funds: $504.7 billion (3.5 percent)
  • State and local governments: $506.1 billion (3.5 percent)
  • Japan: $912.4 billion (6.4 percent)
  • U.S. households: $959.4 billion (6.6 percent)
  • China: $1.16 trillion (8 percent)
  • The U.S. Treasury: $1.63 trillion (11.3 percent)
  • Social Security trust fund: $2.67 trillion (19 percent)
So America owes foreigners about $4.5 trillion in debt. But America owes America $9.8 trillion.
For a smart take on how President Obama and House Republicans should end gridlock over debt and deficits, see our new GlobalPost series The Negotiator, which features Wharton's negotiation guru Stuart Diamond.
And to bone up on China's debt — another potentially big global economic headache — check out this interview with brainy-yet-coherent Northwestern University economist Victor Shih, who spoke with GlobalPost's David Case.



Post by: Tom Mucha
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom