sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Hahaha! Husni kala koni ya Ngabu au lol?Two things.. Koni ambayo inamhusu husny na ngabu.
Na thread ya kitty..
Afu thread ya kitty si ilikuwa kule MMU huku imekujaje tena?
Hahaha! Husni kala koni ya Ngabu au lol?Two things.. Koni ambayo inamhusu husny na ngabu.
Na thread ya kitty..
Hahaha! Husni kala koni ya Ngabu au lol?
Afu thread ya kitty si ilikuwa kule MMU huku imekujaje tena?
Sweety, tulikua ile thread ya Kitty kule MMU, the NN na Husny wakaaza kuongea vitu visivyo husiana na mada ya Kitty. Eventually NN drew me in nikajikuta hata mimi naongelea vya insomnia... so nikaona ni bora thread ihamishwe huku watu wachakachue wanavo taka, ile iendelee kutuelimisha.Hahaha! Husni kala koni ya Ngabu au lol?
Afu thread ya kitty si ilikuwa kule MMU huku imekujaje tena?
Am ok RR....Sweety, tulikua ile thread ya Kitty kule MMU, the NN na Husny wakaaza kuongea vitu visivyo husiana na mada ya Kitty. Eventually NN drew me in nikajikuta hata mimi naongelea vya insomnia... so nikaona ni bora thread ihamishwe huku watu wachakachue wanavo taka, ile iendelee kutuelimisha.
Are you ok lakini?
Am ok RR....
Nimecheka sana hayo maamuzi ya kuhamisha wachakachuaji chit chat... Nzuri sana manake itasaidia kuturudisha kwenye mada... NN na Husninyo wakikutana popote lazima wachakachue , umewaweza haswa lol... Mie leo nimeponea chupu chupu.,..
Hahaha! Swahiba mie leo nimejitahidi kwenye uzi wa kitty sijachakachua kabisa RR shahidi yangu... Huku wametupwa husni na ngabu wake lol...Nilijua tu swaiba hapa hutokosekana! Lol.....huku mmeletewa nyie wachakachuaji!
Unanisingizia, mbona mie sijaletwa huku?Hivi kuna mchakachuzi anayekuzidi wewe? Hahahaaaa.....wewe ni sijapata kuona!
Kuna nini hapa?
Hehehe! Subiri nikamtafute Husn akuletee1Nahisi kuna hitima. Nimeskia harufu ya ubwabwa ila na huu utapiamlo nilionao MziziMkavu kamuagiza Husn niwe nakunywa bottle 2 za wine daily.
Hahaha! Husni kala koni ya Ngabu au lol?
Afu thread ya kitty si ilikuwa kule MMU huku imekujaje tena?
Hahaha! Shemu ngastuka na machale kundesa unanitega mchana kweupe...Shem,
Mimi najua mtu, kapitia saluni !
Kumbe mambo ndiyo haya ?
Shem,
vema nawe swaiba wake umeshuhudia !
Hii leo ya ngapi ?
Manyanga yanakwenda kunizidia uzito!
Nini rai yako shem?
Umemuona deskmate wangu? Namtafuta.Hahaha! Shemu ngastuka na machale kundesa unanitega mchana kweupe...
Uporoto mwenzio yalimshinda akamwaga manyanga lol. Endelea kuvumilia bado mapema sana shem langu!
Khaaa, habari nilizonazo ni kwamba deskmate kafukuzwa shule baada ya kukamatwa kaiba simu ya mwalimu, tafuta deskmate mwingine Mwali...Umemuona deskmate wangu? Namtafuta.
Dah mambo ya shule nomaKhaaa, habari nilizonazo ni kwamba deskmate kafukuzwa shule baada ya kukamatwa kaiba simu ya mwalimu, tafuta deskmate mwingine Mwali...